Julius Nyerere, Benjamin Mkapa, wakiwa London mwaka 1975

Julius Nyerere, Benjamin Mkapa, wakiwa London mwaka 1975

Alikuwa anaheshimika sana!

Mimi mpaka leo hii huwa nikikutana na watu wa Afrika Magharibi kama Ghana, Nigeria, Ivory Coast na kwingineko, na walio na umri wa kutosha kuweza kukumbuka, mara nyingi nikiwatajia ninapotoka, huwa wanamzungumzia pia Nyerere.

Nadhani wanamheshimu sana hata pande hizo.
Nigeria wanamjua Mwalimu Nyerere kwani aliunga mkono upande wa Biafra pale akina Ojukwu walipotaka kujitenga na kuunda serikali yao.
Pia siasa za kutofungamana na upande wowote zililipaisha sana jina la Mwalimu.
 
Hii ilikuwa ni siku ya mwisho ya ziara yake ya kitaifa aliyoifanya huko Uingereza mwaka 1975. Hii ilikuwa ni siku ya Ijumaa, tarehe 21, Novemba 1975.

Hivi Rais Mkapa mwaka ‘75 alikuwa na wadhifa gani serikalini?

Hao wengine sijawatambua ni akina nani.


Hii ziara niliwahi kuianzishia uzi humu miaka karibu 5 iliyopita ila hii video sikuwa nayo.

Mapokezi ya Nyerere huko Uingereza

Haya Mambo ya press conference na wazungu ndo yanamfanya mtu aogope kwenda huko majuu kushangaa maflyover na madege
 
Hii ilikuwa ni siku ya mwisho ya ziara yake ya kitaifa aliyoifanya huko Uingereza mwaka 1975. Hii ilikuwa ni siku ya Ijumaa, tarehe 21, Novemba 1975.

Hivi Rais Mkapa mwaka ‘75 alikuwa na wadhifa gani serikalini?

Hao wengine sijawatambua ni akina nani.


Hii ziara niliwahi kuianzishia uzi humu miaka karibu 5 iliyopita ila hii video sikuwa nayo.

Mapokezi ya Nyerere huko Uingereza

Wakati huo tukiwa na rais.
 
Alikuwa anaheshimika sana!

Mimi mpaka leo hii huwa nikikutana na watu wa Afrika Magharibi kama Ghana, Nigeria, Ivory Coast na kwingineko, na walio na umri wa kutosha kuweza kukumbuka, mara nyingi nikiwatajia ninapotoka, huwa wanamzungumzia pia Nyerere.

Nadhani wanamheshimu sana hata pande hizo.
Ni kama sasa hao kutoka Ghana, Nigeria, Ivory Coast na kwingineko ukiwatajia unakotoka huwa wanamzungumzia Magufuli na kusema Afrika ya sasa inahitaji kiongozi wa sampuli yake.
 
Siku hizi Ni ....Choo oyee,jogoo oyee...kesho mkajisaidie kwa DC,hizo hela mlixokula zitawatokea kwenye sehemu matundu yote yaliyowazi![emoji36][emoji36]
Hahah Barakoa inafanana na titi 1 hivi lililokatwa.
 
Acha tu kingereza, hoja haijengwi kwa kingereza, hoja inajengwa na uwezo wako wa akili. Sasa hao uliowataja hata kujenga kwa kiswahili ni shida.

Nyerere alitawala enzi za wasomi wachache ila wenye kuchambua na kunyumbulisha mambo kwa hoja.

Sasa hivi wajinga ni wengi kuliko ambao Nyerere alitawala.
Yaani Nyerere ukisikiliza hotuba zake akiongelea mambo ya udini,ukabila,malaya wa kisiasa etc utadhani ni hotuba ya jana tu.Yule mzee hakika alikua ni special one.

Huyu wa sasa najiuliza hivi baada ya miaka kadhaa watoto/wajukuu Sijui watu watakua wanajifunza nini kutoka kwny hotuba zake.
 
Nigeria wanamjua Mwalimu Nyerere kwani aliunga mkono upande wa Biafra pale akina Ojukwu walipotaka kujitenga na kuunda serikali yao.
Pia siasa za kutofungamana na upande wowote zililipaisha sana jina la Mwalimu.
Na Nigeria ilituma jeshi lake nchini kipindi kile cha sekeseke la Mwl. kupinduliwa na Ethiopia nao walitupiga tafu.
 
Julius Nyerere University of Kankan

Julius Nyerere University of Kankan (UJNK), also known as Université de Kankan is a university in Kankan, Guinea.[1] It is named after Julius Nyerere, the first President of Tanzania.
Julius Nyerere University of Kankan
Université Julius Nyerere de Kankan
Established1968
LocationKankan
,
Guinea
Websitewww.ujnk.org
Bila kusahau hata waingereza nao wamempa Mtaa unaoitwa - Julius Nyerere Close, Islington, London, N1 0JT . Huyu Mzee ni dunia nzima kwa kweli ilimzimia hata mabeberu...

source:Interesting Information for Julius Nyerere Close, Islington, London, N1 0JT Postcode
 
Alikuwa anaheshimika sana!

Mimi mpaka leo hii huwa nikikutana na watu wa Afrika Magharibi kama Ghana, Nigeria, Ivory Coast na kwingineko, na walio na umri wa kutosha kuweza kukumbuka, mara nyingi nikiwatajia ninapotoka, huwa wanamzungumzia pia Nyerere.

Nadhani wanamheshimu sana hata pande hizo.

Je wanamzungumziaje Magufuli, na mambo yaliyomkuta Lisu?
 
W
Yaani Nyerere ukisikiliza hotuba zake akiongelea mambo ya udini,ukabila,malaya wa kisiasa etc utadhani ni hotuba ya jana tu.Yule mzee hakika alikua ni special one.

Huyu wa sasa najiuliza hivi baada ya miaka kadhaa watoto/wajukuu Sijui watu watakua wanajifunza nini kutoka kwny hotuba zake.
Atajifunza kwamba hotuba zake wapinzani wa maendeleo walizipinga, ila yeye alikuwa wa vitendo tu! Mfano - Jenga ukuta kuzunguka machimbo ya Tanzanite, jenga bwawa la kufua umeme...... Vitendo tu.
Watajifunza kwamba yale watu waliyokuwa wanayashangaa majuu, yote yako bongo. Watajifunza kwamba kujua lugha za wenzio siyo kuendelea/hakuleti maendeleo.
Watajifunza kwamba hata kama unajua lugha yako ya kijijini mwako tu, ukiwa na nia ya kuleta maendeleo kwa unaowaongoza unaweza. Warusi, wajapan, wachina, waturuki n.k,wameweza bila kutumia lugha za wenzio. Watajifunza mengi sana na watabadirika. Hawatakuwa na kasumba ya kikoloni/kibeberu kichwani mwao kama vizazi vya sasa.
 
W
Atajifunza kwamba hotuba zake wapinzani wa maendeleo walizipinga, ila yeye alikuwa wa vitendo tu! Mfano - Jenga ukuta kuzunguka machimbo ya Tanzanite, jenga bwawa la kufua umeme...... Vitendo tu.
Watajifunza kwamba yale watu waliyokuwa wanayashangaa majuu, yote yako bongo. Watajifunza kwamba kujua lugha za wenzio siyo kuendelea/hakuleti maendeleo.
Watajifunza kwamba hata kama unajua lugha yako ya kijijini mwako tu, ukiwa na nia ya kuleta maendeleo kwa unaowaongoza unaweza. Warusi, wajapan, wachina, waturuki n.k,wameweza bila kutumia lugha za wenzio. Watajifunza mengi sana na watabadirika. Hawatakuwa na kasumba ya kikoloni/kibeberu kichwani mwao kama vizazi vya sasa.
Sasa hapo ndipo unapokosea mkuu, kuanza kulinganisha watu. Magufuli naye anasifika hivyo hivyo
 
mwaka 75 laa, Nyerere alikuwa na heshimika sana duniani,nakumbuka aliwahi kupokelewa Ikulu ya Marekani na rais Jimmy Carter, wakati rais mwenzie ambaye alikuwa huko wakati huo Omary Bongo alikuwa anasaga lami tu mitaani.
Huyu wa sasa akienda Marekani , Trump anaweza hata hasi notice uwepo wake.
 
Alikuwa anaheshimika sana!

Mimi mpaka leo hii huwa nikikutana na watu wa Afrika Magharibi kama Ghana, Nigeria, Ivory Coast na kwingineko, na walio na umri wa kutosha kuweza kukumbuka, mara nyingi nikiwatajia ninapotoka, huwa wanamzungumzia pia Nyerere.

Nadhani wanamheshimu sana hata pande hizo.
Mbona tuliambiwa Mataifa mengine ya Afrika yanamtamani Magufuli awe rais wao, je naye hapewi heshima kama Nyerere ?
 
Kweli, Magu yeye ni hoja za uchumi kupanda, mawasiliano - ya anga, barabara, majini. Hoja ya elimu, afya na hoja za nishati ya bei rahisi. Pia anazo hoja alizozijenga kama kuhamia Dodoma!
Hoja hizo kwake amezitoa kwenye kiswahili na kiingereza akaziweka kwenye vitendo. Siyo hoja za lugha (maneno) tu kwake. Ni vitendo. Sasa linganisha - kujenga hoja za umahiri wa lugha bila matendo au vitendo na matokeo bayana! Chagua.
Amekuambukiza utopolo!
Umesahau hoja za kujiita kichaa, anawazimu! Kuua wenye mawazo tofauti kwakuwaita wasaliti, kuropoka matusi hadharani...n.k
 
Pumbav kweli unakula hela za uma unajaza kitambi unataka zikutokee wapi. Mmempata msela mwenzenu ndo mtamtambua ni nani
Tuletee kapicha Mkuu Mfano mojawapo ya jinsi zinavyotoka tushuhudie Mkuu,acha ukali!
 
Yaani Nyerere ukisikiliza hotuba zake akiongelea mambo ya udini,ukabila,malaya wa kisiasa etc utadhani ni hotuba ya jana tu.Yule mzee hakika alikua ni special one.

Huyu wa sasa najiuliza hivi baada ya miaka kadhaa watoto/wajukuu Sijui watu watakua wanajifunza nini kutoka kwny hotuba zake.
Hotuba zenyewe zimeanza kufichwa.

Zinawekwa zinazowafurahusha tu.
 
Back
Top Bottom