Julius Nyerere: Katika Uchaguzi wa mwaka 1995, Kamati Kuu ya NEC-CCM ilikata jina la Lowassa kwa hoja

Bado hujasema lowasa alifanya nini?
Mpaka sahz ila unatoa maneno matupu..
Ainisha sokoine alimuhamisha lowasa kwa sababu hii Na hii!

Wote tunajua kuwa Sokoine Dhumuni lake lilikuwa kuwa Rais wa Tanzania na yoyote yule aliyekuwa anaonyesha Dalili za kutaka urais Alimtafutia zongo kama sio kumjengea kamati
 
Huyu alipewa tu ushindi na Mwl.
Hapana mkapa round ya pili alimshinda jk kwa kura chache,,hazifiki hata 50,,nimetoka kuangalia video yake iko TBC,,,mwinyi ndo alitangaza matokeo,tafuta hiyo video nimeshindwa ku copy,mtandao uko very slow
 

View: https://youtu.be/_MrghqPeOHg?si=Ms8uht5RohO0eeOI
 
Wachana na mambo ya salary scale, watu wanawekeza vijimishahara vyao kidogo wanavyopata wanaenda kulima huko vijijini kuanzia heka mbili, wakivuna wanaongeza tena mbili, mwisho wa siku mambo yao yanabadilika wewe unawaza tu kipato kwa "salary scale"

Wengine wapata mshahara, wananunua ndama, wanakaa nae wanamlisha, akikua, wanaongeza mwingine, mwisho wa siku mtu anakuwa na n'gombe wake kadhaa, anaanza kuuza maziwa, na ngombe pia anauza kwa wenye bucha, nyie mnawaza tu "salary scale".

Watu wanafuga vitimoto kwa mtindo huo mambo yanawanyookea, nyie vichwani ni kile kile "salary scale".

Ndio maana mwisho wa siku licha ya kuwaita wezi bado mnashindwa kuwapeleka mahakamani, kwasababu ya dhana hasi mliyojijengea vichwani ya "salary scale" isiyo na ushahidi wowote.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
 
Upumbavu wako upo dhahiri shahiri kichwani mwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…