Asanteeeeeee.....Bongo movies wanaingia failures.. Julie mtoto wa Didas Masaburi..naskia kaungua..hahah mjini kuna umbea jamani..
Bongo movies wanaingia failures.. Julie mtoto wa Didas Masaburi..naskia kaungua..hahah mjini kuna umbea jamani..
amemuunguza nani?
sisi wa huku Namtumbo tunamuaminia sana Muuza Sura kwa kutoa credit za wakali wa town!!
alisema yule bilionea wa Instagram hamjui,kweli ikagundulika sio bilionea!!
Muuza Sura njoo uthibitishe
Nini kutoka nae? Na mimba juu, wapi Mrembo by Nature na Dinazarde
Halafu nasikia ni toto la kishua hatare, hana njaa kama akina lulu na mama ubaya
nshaskia ana mimba ya rummy
mmmhh...!!mjini kuzuri sirudi sitimbi ng'ooo
mtoto wa didas masaburi pesa ipo ila ndo kimeo tuu
Ndo huyu anatoka na rummy?
Huyo Jullie nasikia anaringa kama vile hanti!!kanunuiwa na gari nasikia...hata iyo mimba alitambika mpaka mizimu ya babu zake,nasikia ni special mahsus kula sahani moja na wake wenzake ambao wote wamezalishwa na rummy show muuza sembe...