OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Yanga watapigwa si chini ya goli nne na Mnyama,ndo maana mechi iliyopita walikimbia,lakini July 3 siombali bado tabu ipo palepale kwa Vidimbwi f.c.Uto kwann wanawahofia Simba hivi!
Kwa mpira wa Simba SC dhidi ya wakaanga Chips, hata ningekuwa mimi sipeleki timu uwanjaniUto kwann wanawahofia Simba hivi!
Kwa lile mbungi walipigishwa Kaizer Chiefs ni muhimu kukataa kucheza na Simba aisee.View attachment 1795234
Intelijensia yangu inaniambia uongozi wa Yanga umeanza chokochoko za kukataa kucheza July 3. Wameanza kuwatumia vijana wa mitandao na wachambuzi takataka kutuma ujumbe wao.
Tunaomba Simba iongee na TFF wabadili kidogo kanuni. Tucheze na Yanga ila point 3 wapewe Yanga. Tunataka utopolo wakose sababu.
Halafu mashabiki wa Simba Sc nao wapunguze vitisho kwa Yanga ili kushusha pressure
Bro sio chokochoko,bali ni wazi kabusa yanga wamesema teh 3 hawapeleki timu uwanjani hadi tff watatue mambo 8 ambayo yanga wanayalalamukia na tff hawajayatatuaView attachment 1795234
Intelijensia yangu inaniambia uongozi wa Yanga umeanza chokochoko za kukataa kucheza July 3. Wameanza kuwatumia vijana wa mitandao na wachambuzi takataka kutuma ujumbe wao.
Tunaomba Simba iongee na TFF wabadili kidogo kanuni. Tucheze na Yanga ila point 3 wapewe Yanga. Tunataka utopolo wakose sababu.
Halafu mashabiki wa Simba Sc nao wapunguze vitisho kwa Yanga ili kushusha pressure
coastal union waliwafanyaje?Mmehenyeshwa na ruvu shooting. Alafu leo mje muifunge YANGA. Kweli maajabu hayaishi duniani. Sijui mbumbumbu fc mnafeli wapi kudanganyana ujinga ujinga
Mmehenyeshwa na ruvu shooting. Alafu leo mje muifunge YANGA. Kweli maajabu hayaishi duniani. Sijui mbumbumbu fc mnafeli wapi kudanganyana ujinga ujinga
Kwahiyo umeona wap sisi tunajisifia sifia kipumbavu kama ninyi et mtamfunga yanga goli nyingi? Kwenye mpira wa miguu lolote linaweza kutokea. Mpira wa miguu una matokeo matatu.Kama wewe ulivyofungwa 2-1 na timu inayotaka kushuka daraja
Kama ni hayo mambo 8, kwa nini wasigomee kupeleka timu ilipocheza na JKT Tanzania au Namungo, au mechi za ligi zinazofuata, au hata mechi ya Mwadui ya FA, badala yake wanachagua mechi ya Julai 3 ?Bro sio chokochoko,bali ni wazi kabusa yanga wamesema teh 3 hawapeleki timu uwanjani hadi tff watatue mambo 8 ambayo yanga wanayalalamukia na tff hawajayatatua