July 3; Yanga mcheze na sisi ila point wapewe Yanga

Bro sio chokochoko,bali ni wazi kabusa yanga wamesema teh 3 hawapeleki timu uwanjani hadi tff watatue mambo 8 ambayo yanga wanayalalamukia na tff hawajayatatua
Kanuni ziko wazi wasipoleta timu uwanjani Simba anapewa point tatu, lakini sisi tunawataka uwanjani tuwadhihirishie kuwa hawajui
 
Naona wenge la kutolewa na Keizer halijatulia vizuri.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…