Juma Ayo: Simba labda waombe uwanja wa CCM Kirumba Mwanza siyo Zanzibar

Juma Ayo: Simba labda waombe uwanja wa CCM Kirumba Mwanza siyo Zanzibar

Rangi halisi za viongozi wa Simba zitaonekana wakati uchaguzi mkuu ukikaribia, wengi wapo hapo kwa ajili ya kujitangaza kisiasa.
Mkutano wao mkuu hawakuzungumzia mipango yoyote ya kujenga uwanja badala yake pesa walizopata kwa jasho la washabiki wa Simba kwa lengo la kujenga uwanja wametumia kwa matumizi yasiyoeleweka Kama kujenga uzio na kambi ya timu.
Maceo wenye vision wangezungumzia mipango ya timu Kama kujenga uwanja lakini yeye anazungumzia magroup ya WhatsApp .
Group channel ya Simba ni mafanikio makubwa [emoji1]

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Nimeshamjibu Mpumbavu ( Juha ) Dr Matola PhD mnayefanana kwa Umasikini wenu wa Kifikra hapo juu.

Soma kisha mtafute muda ili muelimishane zaidi ili Siku zingine mkiwa hapa JamiiForums muonekane mna Akili na kwamba mlienda Shule Kusoma na Kuelimika na siyo Kukua tu kunywa Uji wa Buruga sawa?
[emoji1][emoji1]

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Matimu haya mawili pamoja na utajiri yaliyo nao, (wanachama na wapenzi) yatabaki omba omba, litoto umelizaa Linazeeka halijui hata kukwetua uwanja..hovyo kabisa

Sent from my CPH2481 using JamiiForums mobile app
Wydad na Raja Casablanca hawana viwanja vyao.

Ac Milan na Inter Milan hawana viwanja vyao.

Al Ahly na Zamalek hawana viwanja vyao.
 
Ratiba mpya ya ligi kuu imetoka leo na hakuna uwanja wa Zanzibar, bc rasmi uzi huu ufungwe 😂
 
Mara kumi ukaishi dubai kwenye hotel lakini sio zanzibar, sijui zile gharama wanaangalia nini hasa
Dah hata mimi huwa nashangaa sana. Hotel ya shilingi 30,000 Tanzania Bara, Zanzibar unalipa sh.150,000. Hata kama wakisingizia utalii lakini hapana gharama za Hotel Zanzibar zipo juu mno. Kuna siku nililala Hotel moja pale Mji Mkongwe gharama ya chumba ilikuwa sh. 220,000, chumba ambacho kwa Hotel za Dar huwa nalipa sh. 50,000.
 
Dah hata mimi huwa nashangaa sana. Hotel ya shilingi 30,000 Tanzania Bara, Zanzibar unalipa sh.150,000. Hata kama wakisingizia utalii lakini hapana gharama za Hotel Zanzibar zipo juu mno. Kuna siku nililala Hotel moja pale Mji Mkongwe gharama ya chumba ilikuwa sh. 220,000, chumba ambacho kwa Hotel za Dar huwa nalipa sh. 50,000.
Zanzibar wanazingua sana, Dubai unapata hotel ya 30k lakini Zanzibar hupati, naweza nikatoka dar nikaenda kukaa dubai wiki ila zanzibar siwezi
 
Usitumie reference ya timu ya Taifa kama ndio kigezo kwa sababu, Zanzibar hana uanachama CAF wala FIFA hivyo tunakuwa pamoja kwenye michuano yeyote CAF na FIFA kwa ngazi ya timu ya taifa...

Inapokuja michuano ya kikanda (CECAFA) na ligi za ndani, mamlaka ya TFF na ZFA zinachukua mafasi stahiki...
Zanzibar inashiriki mashindano ya CAF ya klabu bingwa na kombe la washindi. Kumbuka Mlandege ilitolewa na Singida Fountain Gate katika mashindano ya kombe la washindi la CAF.
 
Zanzibar inashiriki mashindano ya CAF ya klabu bingwa na kombe la washindi. Kumbuka Mlandege ilitolewa na Singida Fountain Gate katika mashindano ya kombe la washindi la CAF.

Soma comment yangu utaona kuna maneno "kwa ngazi ya timu ya taifa"
 
Back
Top Bottom