Group channel ya Simba ni mafanikio makubwa [emoji1]Rangi halisi za viongozi wa Simba zitaonekana wakati uchaguzi mkuu ukikaribia, wengi wapo hapo kwa ajili ya kujitangaza kisiasa.
Mkutano wao mkuu hawakuzungumzia mipango yoyote ya kujenga uwanja badala yake pesa walizopata kwa jasho la washabiki wa Simba kwa lengo la kujenga uwanja wametumia kwa matumizi yasiyoeleweka Kama kujenga uzio na kambi ya timu.
Maceo wenye vision wangezungumzia mipango ya timu Kama kujenga uwanja lakini yeye anazungumzia magroup ya WhatsApp .
[emoji1][emoji1]Nimeshamjibu Mpumbavu ( Juha ) Dr Matola PhD mnayefanana kwa Umasikini wenu wa Kifikra hapo juu.
Soma kisha mtafute muda ili muelimishane zaidi ili Siku zingine mkiwa hapa JamiiForums muonekane mna Akili na kwamba mlienda Shule Kusoma na Kuelimika na siyo Kukua tu kunywa Uji wa Buruga sawa?
Wydad na Raja Casablanca hawana viwanja vyao.Matimu haya mawili pamoja na utajiri yaliyo nao, (wanachama na wapenzi) yatabaki omba omba, litoto umelizaa Linazeeka halijui hata kukwetua uwanja..hovyo kabisa
Sent from my CPH2481 using JamiiForums mobile app
Azam na gwambina ....Wana viwanja vyao[emoji1][emoji1]Wydad na Raja Casablanca hawana viwanja vyao.
Ac Milan na Inter Milan hawana viwanja vyao.
Al Ahly na Zamalek hawana viwanja vyao.
Siyo tatizo timu kubwa kutokuwa na uwanja wa kuchezea na siyo tatizo timu ndogo kuwa na kiwanja chake.Azam na gwambina ....Wana viwanja vyao[emoji1][emoji1]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
So sad [emoji22]Ratiba mpya ya ligi kuu imetoka leo na hakuna uwanja wa Zanzibar, bc rasmi uzi huu ufungwe [emoji23]
Dah hata mimi huwa nashangaa sana. Hotel ya shilingi 30,000 Tanzania Bara, Zanzibar unalipa sh.150,000. Hata kama wakisingizia utalii lakini hapana gharama za Hotel Zanzibar zipo juu mno. Kuna siku nililala Hotel moja pale Mji Mkongwe gharama ya chumba ilikuwa sh. 220,000, chumba ambacho kwa Hotel za Dar huwa nalipa sh. 50,000.Mara kumi ukaishi dubai kwenye hotel lakini sio zanzibar, sijui zile gharama wanaangalia nini hasa
Zanzibar wanazingua sana, Dubai unapata hotel ya 30k lakini Zanzibar hupati, naweza nikatoka dar nikaenda kukaa dubai wiki ila zanzibar siweziDah hata mimi huwa nashangaa sana. Hotel ya shilingi 30,000 Tanzania Bara, Zanzibar unalipa sh.150,000. Hata kama wakisingizia utalii lakini hapana gharama za Hotel Zanzibar zipo juu mno. Kuna siku nililala Hotel moja pale Mji Mkongwe gharama ya chumba ilikuwa sh. 220,000, chumba ambacho kwa Hotel za Dar huwa nalipa sh. 50,000.
Sasa lile li hotel la bakhresa litakuwa bei ganZanzibar wanazingua sana, Dubai unapata hotel ya 30k lakini Zanzibar hupati, naweza nikatoka dar nikaenda kukaa dubai wiki ila zanzibar siwezi
Zanzibar wanazingua sana, Dubai unapata hotel ya 30k lakini Zanzibar hupati, naweza nikatoka dar nikaenda kukaa dubai wiki ila zanzibar siwezi
Huyo mshamba, la liga kama sikosei, kuna timu walishatumia uwanja nje ya hispania.
Kucheza kule simba kuna faida nyingi kuliko hasara kwa wao.
Zanzibar inashiriki mashindano ya CAF ya klabu bingwa na kombe la washindi. Kumbuka Mlandege ilitolewa na Singida Fountain Gate katika mashindano ya kombe la washindi la CAF.Usitumie reference ya timu ya Taifa kama ndio kigezo kwa sababu, Zanzibar hana uanachama CAF wala FIFA hivyo tunakuwa pamoja kwenye michuano yeyote CAF na FIFA kwa ngazi ya timu ya taifa...
Inapokuja michuano ya kikanda (CECAFA) na ligi za ndani, mamlaka ya TFF na ZFA zinachukua mafasi stahiki...
Mkuu unachosema ni kweli? Kwahiyo mtu akimudu ticket ya ndege go and return unaweza kumudu kabisa holiday dubai, bei ya vyakula ipoje?Zanzibar wanazingua sana, Dubai unapata hotel ya 30k lakini Zanzibar hupati, naweza nikatoka dar nikaenda kukaa dubai wiki ila zanzibar siwezi
Kaka ukishapata nauli tu, weka laki5 ya kula na kulala siku4 inatosha kabisaMkuu unachosema ni kweli? Kwahiyo mtu akimudu ticket ya ndege go and return unaweza kumudu kabisa holiday dubai, bei ya vyakula ipoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale bei ya chini kwa siku utaambiwa 150k,Sasa lile li hotel la bakhresa litakuwa bei gan
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Zanzibar inashiriki mashindano ya CAF ya klabu bingwa na kombe la washindi. Kumbuka Mlandege ilitolewa na Singida Fountain Gate katika mashindano ya kombe la washindi la CAF.
Kudadeq....na utakuta raia kweli wanalala mulePale bei ya chini kwa siku utaambiwa 150k,
Watu wanalala daily, sie ngumbaru twende dubai na Thailand tu