Ngojea nikutolee mfano mzuri hiv Zari akiolewa mondi ataumia?Mkuu inaonesha wazi kabisa wewe ni mgeni wa mapenzi, yawezekana kabisa ni dume bikra 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngojea nikutolee mfano mzuri hiv Zari akiolewa mondi ataumia?Mkuu inaonesha wazi kabisa wewe ni mgeni wa mapenzi, yawezekana kabisa ni dume bikra 😂😂
Sio kirahisi mkuu,Jamaa ana pesa huyo maana ni muigizaji maarufu huko marekani, akija kudiriki kufanya huo upuuzi sheria za marekani zitambana sana mbavu, pesa za mali zake zitapigwa pasu kwa pasu Vanesa atarudi huku akiwa na vibilioni kadhaa.Rootiee akija kumtosa vannesa atakoma kuwafahamu wabongo
Sio kirahisi mkuu,Jamaa ana pesa huyo maana ni muigizaji maarufu huko marekani, akija kudiriki kufanya huo upuuzi sheria za marekani zitambana sana mbavu, pesa za mali zake zitapigwa pasu kwa pasu Vanesa atarudi huku akiwa na vibilioni kadhaa.
Naamini ata handle yeye binafsi na atafanikiwa.Tumsaidie katika kujipanga upya asione amefika mwisho
Kwa kweli, huu uzi ungekuwa batili na huu uzi usingenoga bila kuona comment yako humu.Jux ajipange upya na aanze ukurasa mwingne.
Vee yuko ktk mikono salama ya Rottiee.
Hivi kwenye simu yako unazo nyimbo ngapi za Jux?Nakosaje sasa mie tena? Lazima niweke neno. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeongea vice versa, asa demu hujawahi kupiga anakuumaje kwa mfano? Kinachoumaga ni maupendo ya dhati aliyokupa anaenda pewa mwingine.Mwanamke anauma yule ambaye haujawai kupiga yaani inauma balaa,mwanamke umemtumia miaka na miaka afu ikuume hapana naona hapa tunausemea moyo wa jux kwa kwl utakuta yy kwake fresh 2
Karne hii ya 21,Bado Kuna wanawake wanajivunia kuolewa/kuchumbiwa!!what a shame!ingekuwa ina maana zaidi Kama Vmoney angekuwa amepiga deal kubwa la mkwanja mrefu,Ili awe model kwa dada zetu nyumbani,sasa Kama Vmoney na exposure aliyonayo ameona kuvalishwa pete,ndio jambo kubwa la kuwaambia wadogo zake wa kike,hapa bongo,sasa hebu fikiria wale wasio hata na ajira wataishi vipi?Baada ya Rotimi kuchafua hali ya hewa huko Insta hatimaye dua za Jux zimekua dua za Kuku, kiukweli wengi hawakutaraji na hata Jux mwenyewe alijua dada yetu anafanyiwa window shopping tu nakuachwa kimasihara ... hatimae limepumzishwa jiwe la magram yakutosha kwenye kidole cha dada yetu , na
Nasikia kuna mikataba (prenup sijui)huwa wanasaini hasahasa kabla ya ndoa kuwa hata wakiachana malibzinabaki kwa mwenye mali,rejea trumpSio kirahisi mkuu,Jamaa ana pesa huyo maana ni muigizaji maarufu huko marekani, akija kudiriki kufanya huo upuuzi sheria za marekani zitambana sana mbavu, pesa za mali zake zitapigwa pasu kwa pasu Vanesa atarudi huku akiwa na vibilioni kadhaa.