Juma Jux anahitaji support yetu leo than ever

Juma Jux anahitaji support yetu leo than ever

Rootiee akija kumtosa vannesa atakoma kuwafahamu wabongo
Sio kirahisi mkuu,Jamaa ana pesa huyo maana ni muigizaji maarufu huko marekani, akija kudiriki kufanya huo upuuzi sheria za marekani zitambana sana mbavu, pesa za mali zake zitapigwa pasu kwa pasu Vanesa atarudi huku akiwa na vibilioni kadhaa.
 
Kwani wakivalishana pete ndio kuachana hakupo?

Yule si ni Mnijeria? The world conmen pot
 
Inauma sana kumuona mwanamke uliye kuwa unagalagazana nae kitandani kimahaba, uliyekuwa unamkiss kimahaba na kumwambia nakupenda na yeye anaishiwa maneno ya kukwambia anabakia kukutazama kwa mahaba zaidi na kukukumbatia kwa upendo.

Halafu umuone huyu mwanamke katika mikono ya mwanaume mwingine akifanya yale yale mliyokuwa mkifanya. Mbaya zaidi now wanafunga uchumba kabisa..... Inauma sana.
 
Ni uchumba huo sio ndoa mkuu. Halafu wanaija wajanja hawakai kiboya boya kihivyo
Sio kirahisi mkuu,Jamaa ana pesa huyo maana ni muigizaji maarufu huko marekani, akija kudiriki kufanya huo upuuzi sheria za marekani zitambana sana mbavu, pesa za mali zake zitapigwa pasu kwa pasu Vanesa atarudi huku akiwa na vibilioni kadhaa.
 
Since kijana aliyemvalisha pete ni mnaijeria, venessa ajiandae kwa lolote litakalompata siku za usoni.
 
Mwanamke anauma yule ambaye haujawai kupiga yaani inauma balaa,mwanamke umemtumia miaka na miaka afu ikuume hapana naona hapa tunausemea moyo wa jux kwa kwl utakuta yy kwake fresh 2
 
Mwanamke anauma yule ambaye haujawai kupiga yaani inauma balaa,mwanamke umemtumia miaka na miaka afu ikuume hapana naona hapa tunausemea moyo wa jux kwa kwl utakuta yy kwake fresh 2
Umeongea vice versa, asa demu hujawahi kupiga anakuumaje kwa mfano? Kinachoumaga ni maupendo ya dhati aliyokupa anaenda pewa mwingine.
 
Baada ya Rotimi kuchafua hali ya hewa huko Insta hatimaye dua za Jux zimekua dua za Kuku, kiukweli wengi hawakutaraji na hata Jux mwenyewe alijua dada yetu anafanyiwa window shopping tu nakuachwa kimasihara ... hatimae limepumzishwa jiwe la magram yakutosha kwenye kidole cha dada yetu , na
Karne hii ya 21,Bado Kuna wanawake wanajivunia kuolewa/kuchumbiwa!!what a shame!ingekuwa ina maana zaidi Kama Vmoney angekuwa amepiga deal kubwa la mkwanja mrefu,Ili awe model kwa dada zetu nyumbani,sasa Kama Vmoney na exposure aliyonayo ameona kuvalishwa pete,ndio jambo kubwa la kuwaambia wadogo zake wa kike,hapa bongo,sasa hebu fikiria wale wasio hata na ajira wataishi vipi?
 
Sio kirahisi mkuu,Jamaa ana pesa huyo maana ni muigizaji maarufu huko marekani, akija kudiriki kufanya huo upuuzi sheria za marekani zitambana sana mbavu, pesa za mali zake zitapigwa pasu kwa pasu Vanesa atarudi huku akiwa na vibilioni kadhaa.
Nasikia kuna mikataba (prenup sijui)huwa wanasaini hasahasa kabla ya ndoa kuwa hata wakiachana malibzinabaki kwa mwenye mali,rejea trump
 
Back
Top Bottom