Juma Jux anahitaji support yetu leo than ever

Af mko subjective sana...ujute Juma hakuwa na mpango wowote na V sio long term sio kuzaa nae.

So vitakavyo fata apo ni kelele tu ndo ninazo ziona hapa. Nasemajee Jogoo hafi kwa utitiri. Yan mnamtishia Juma kisa Ve kabeba mimba!!!? Camoon guys!!! Hii ishu ntashangaa sana Wanaume wakiushadadia kwa kuunga mkono hoja ya mleta mada...

Fanya vingine vyote ila Jogoo hafi kwa utitiri. Maana ata ivyo mmewaza upande wa Vanesa kisa kabeba mimba, watu ndoa zinavunjika nyie mnaongelea mimba? Na istoshe mnamtishia EX wake?
 
Wewe umejuaje jux ameumia? Kwani upo kwenye moyo wake? Acha vitu vingine vikupite mzee baba
Mi ndo nnapo shangaa kwa kweli...af watu wako bize kumsema Jux. Sasa kama hakuwa na mpango wa kuzaa na Vanessa je? worse ukute chanzo cha Jux kumkataa V ni kutaka kuzaa nae...ni bora kuwa neutral tu wasipendelee upande mmoja mana hawajui maisha yao yalikuaje na Mioyo yao sasa ivi ipoje
 
Shida ni kwamba Jux hajatuonyesha mwanamke wake mwenye mimba!!
 
Yaliyomo Yamo
 
Niko kushuhudia wadada wakimchamba Dada mwenzao jux.

Wanaume wa jf tunatia aibu kwa umbea..
 
Huenda hata wema sepetu anazaa sema ndio Watu wa Dar ndio kama Jux
 
Mwanamke kiolewa ni zaidi ya kupiga dili kubwa. Kama wewe ni mwanamke basi haujitambui sawa sawa bado soon utaelewa ila kama ni mwanaume then hujui ulisemalo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…