Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila we mwamba muhuni sanaMabaharia tunaumiaga Kwa mwanamke ambae hatujapiga tuu.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yani demu ambae hujapiga anaumiza Sana akikuacha yani unakuwa unajiuliza hivi Yuko na mbususu ya Aina Gani.. hahahahhh
Usidanganye watu vanessa ndio alimtosa jux mbona ipo wazi mbaka jux aliongea hiyoMi ndo nnapo shangaa kwa kweli...af watu wako bize kumsema Jux. Sasa kama hakuwa na mpango wa kuzaa na Vanessa je? worse ukute chanzo cha Jux kumkataa V ni kutaka kuzaa nae...ni bora kuwa neutral tu wasipendelee upande mmoja mana hawajui maisha yao yalikuaje na Mioyo yao sasa ivi ipoje
Iko wazi kabisaaah.Usidanganye watu vanessa ndio alimtosa jux mbona ipo wazi mbaka jux aliongea hiyo