Yuko mbali mno, kifedha, ki investments, fan base, international recognition na strong management.Ni ngumu sana kum downgrade Mondi.. Huyu tayari yuko next to next level...!!!!
level ipiNi ngumu sana kum downgrade Mondi.. Huyu tayari yuko next to next level...!!!!
Uzuri pamoja na kumchukia ila mioyoni ukweli wanaujua.......Ni ngumu sana kum downgrade Mondi.. Huyu tayari yuko next to next level...!!!!
Mc hammer kufulia kulitokana na muziki anaoufanya kupitwa na wakati na yeye akashindwa kufit katika genre mpya ya gangsta rap.Unamjua Mc hammer, au Mike tyson? Walikua mbingu na ardhi na mondi yaani walikua na hela na umaarufu mara 1000000 ya mondi, walifulia
Kufulia akili ya mtu mwenyewe sababu Tyson kafulia unazani kila mtu atafulia, mbona Jay Z hajafulia pamoja na kutembelea Maybach ya usd 8m ,saa ya mkononi usd 3m na cheni shingoni usd 300000.Unamjua Mc hammer, au Mike tyson? Walikua mbingu na ardhi na mondi yaani walikua na hela na umaarufu mara 1000000 ya mondi, walifulia
Hii ni ya 2016 mzee baba AMGHiyo benz aliyonunua Jux ukilinganisha na rolls royce ya diamond mbona ni ya zamani sana na hadhi ya chini ? Kwa wanaojua gari za mjerumani cc Extrovert RRONDO Mnisahihishe kama nakosea kwenye hiyo dashboard hapo chini👇View attachment 1864990
Hiyo sio E-Class W212 facelift ya 2013 - 2016 ?
Mimi niko hapa sina hata baiskeli ila wanipe miaka michache watakua chini yangu.Sasahiv kwa mwendo wa mziki unavyoenda kama msanii unatembelea crown a.k.a Nanasi, kafanye biashara nyingine tuu. Maana mziki pekeyake haulipi.
Jux kupitia insta yake leo kaposti msafara wake wa Mercedes na BMW ukienda kupokea helikopta mpya aliyoinunua.
Kuna msanii alinunua RR used dubai leo Uwoya kaposti kakodi Uber ya RR ya gharama zaidi.
Mimi hapa ninachokiona kwenye mbio hizi kuna mtu ataishiwa pumzi tu mda si mrefu.View attachment 1864960
Wakati huo Trump akiwa Financial Advisor wake 😅😅😅 20 years later Trump akawa raisi wa nchi!Mc hammer kufulia kulitokana na muziki anaoufanya kupitwa na wakati na yeye akashindwa kufit katika genre mpya ya gangsta rap.
Tyson ni matokeo ya promoter Don King.
Sh. Ngapi 0km?Hii ni ya 2016 mzee baba AMG
Hela ndefu inaweza karibia about a 100GSh. Ngapi 0km?