Juma Jux kanunua helikopta. Hii vita ya Juma Jux, Diamond Platnumz haiwezi

Juma Jux kanunua helikopta. Hii vita ya Juma Jux, Diamond Platnumz haiwezi

Hiyo benz aliyonunua Jux ukilinganisha na rolls royce ya diamond mbona ni ya zamani sana na hadhi ya chini ? Kwa wanaojua gari za mjerumani cc Extrovert RRONDO Mnisahihishe kama nakosea kwenye hiyo dashboard hapo chini[emoji116]View attachment 1864990
Hiyo sio E-Class W212 facelift ya 2013 - 2016 ?
Kweli mwanangu uko sahihi mia mia!!
 
Angeweza kununua benz 10 au zaidi kwa cost ya rolce royce 1 pamoja na kodi!
Sio kumi 10 tu kuwa na heshima mzee...angenunua 10 halafu chenji inabaki , hiyo chenji anaenda kuzipiga rims kali zaidi, na plate number ile custom anaita "Diamond 1", "Diamond 2", "Diamond 3"....mpaka "Diamond 10" halafu chenji inabaki anaenda kuzipiga hata seat cover kali halafu chenji inayobaki anazipeleka "Service B" na bado chenji inabaki atajua mwenyewe aifanyie nini 🤣
 
Sio kumi 10 tu kuwa na heshima mzee...angenunua 10 halafu chenji inabaki , hiyo chenji anaenda kuzipiga rims kali zaidi, na plate number ile custom anaita "Diamond 1", "Diamond 2", "Diamond 3"....mpaka "Diamond 10" halafu chenji inabaki anaenda kuzipiga hata seat cover kali halafu chenji inayobaki anazipeleka "Service B" na bado chenji inabaki atajua mwenyewe aifanyie nini 🤣
Heheheheh watu wanafanya mchezo na 1.5B
 
Haiwezekani ikawa ya 2018, hiyo ni kama wamepiga modification ya show ya mbele kidogo nikioangalia dashboard yake na hata body ya nyuma ni E class ambayo ipo based kwenye W212.

Ingekuwa ya 2013 (W213) show yake ya nyuma ingekuwa ipo curved zaidi,hasa upande wa taa hiyo ni E class ya 2018 [emoji116]
View attachment 1865015
Hii ni E -class ya Jux (ipo boxed zaidi sio curved)[emoji116]
View attachment 1865021


Pia hiyo system yake kwenye Dashboard (Comand) ya jux ina knob peke yake kwa ajili ya kunavigate menu za systemView attachment 1865023

E- Class ya 2018 (W213) ina knob na touchpadView attachment 1865025
Na interior ya W213 ina ambient light angepiga picha lazima tungeiona. In short dashboard ya
W212 ni hii[emoji116]
View attachment 1865029
Ya w213 ni hii View attachment 1865030

Hii ndinga ya jux inatumika sana kama taxi ujerumani kuna kipindi niliwahi kukaa huko kwa mjerumani basi nikiita taxi na app yao kama Uber ndio nilikuwa napanda, angeinunua Diamond ingepondwa sana, ila kwa kuwa ni Jux ndio inapaishwa zaidi[emoji1787]View attachment 1865031
Hii ni taxi hata palestine mkuu niliziona
 
Mc hammer kufulia kulitokana na muziki anaoufanya kupitwa na wakati na yeye akashindwa kufit katika genre mpya ya gangsta rap.

Tyson ni matokeo ya promoter Don King.


Hapana ndugu. Usemayo yawezakuwa yalichangia lakini ukweli jamaa hawa walifulia kutokana na matumizi mabovu ya anasa na kushindwa kujitawala. Hammer kwa mfano, maisha ya anasa na kamari yalimmaliza kabisa.

Cheki hapa kufilisika kwa McHammer

 
Mtoa mada hapendi maendeleo ya Mond. His post (s) says it all.
1. Ulimsifia Jux kwamba kamzidi Mond kimaisha
2. Uwoya kapanda uber RR
3. Hii post

Mwanaume weee? Yatakuja yakushinde mchana kweupe.
Tunaomba utuombe radhi wanaume wote kwa udhalilishaji uliotufanyia.

Huyu si mwanaume mwenzetu.

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Haiwezekani ikawa ya 2018, hiyo ni kama wamepiga modification ya show ya mbele kidogo nikioangalia dashboard yake na hata body ya nyuma ni E class ambayo ipo based kwenye W212.

Ingekuwa ya 2013 (W213) show yake ya nyuma ingekuwa ipo curved zaidi,hasa upande wa taa hiyo ni E class ya 2018 👇
View attachment 1865015
Hii ni E -class ya Jux (ipo boxed zaidi sio curved)👇
View attachment 1865021


Pia hiyo system yake kwenye Dashboard (Comand) ya jux ina knob peke yake kwa ajili ya kunavigate menu za systemView attachment 1865023

E- Class ya 2018 (W213) ina knob na touchpadView attachment 1865025
Na interior ya W213 ina ambient light angepiga picha lazima tungeiona. In short dashboard ya
W212 ni hii👇
View attachment 1865029
Ya w213 ni hii View attachment 1865030

Hii ndinga ya jux inatumika sana kama taxi ujerumani kuna kipindi niliwahi kukaa huko kwa mjerumani basi nikiita taxi na app yao kama Uber ndio nilikuwa napanda, angeinunua Diamond ingepondwa sana, ila kwa kuwa ni Jux ndio inapaishwa zaidi🤣View attachment 1865031
🤣🤣
 
Back
Top Bottom