Juma Jux kanunua helikopta. Hii vita ya Juma Jux, Diamond Platnumz haiwezi

Juma Jux kanunua helikopta. Hii vita ya Juma Jux, Diamond Platnumz haiwezi

Kuna taarifa lile used la billioni 2.9 limeonekana gereji uswahilini. Yaani unapeleka gari la billioni 2.9 kwenye gereji ya elfu kumi kumi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kufulia akili ya mtu mwenyewe sababu Tyson kafulia unazani kila mtu atafulia, mbona Jay Z hajafulia pamoja na kutembelea Maybach ya usd 8m ,saa ya mkononi usd 3m na cheni shingoni usd 300000.

Husiforce wafaane kila mtu ana akili yake na plan zake. Haya kwa wewe unaamini Mondi atafulia Jux hatofulia? Endelea kusubiria Meli Airport aliyepewa kapewa we baki na chuki za
Kuna mijitu mkuu siku zote ni kumuwazia Daimond mabaya tu wakati si ajabu ana uwezo wa kuulisha ukoo wao mzima na kusomesha watoto wake shule za maana na maisha yakaenda,yaani dogo sijui kaqakoswa nn,maisha wayashindwe wenyewe wivu wamuonee kijana wa watu,yaani hata waliokuwa hawampendi inabidi wampende manake si kwa chuki hizi zisizo na kichwa wala miguu
 
Hii ni ya 2018 mzee baba
Haiwezekani ikawa ya 2018, hiyo ni kama wamepiga modification ya show ya mbele kidogo nikioangalia dashboard yake na hata body ya nyuma ni E class ambayo ipo based kwenye W212.

Ingekuwa ya 2013 (W213) show yake ya nyuma ingekuwa ipo curved zaidi,hasa upande wa taa hiyo ni E class ya 2018 👇
images (78).jpeg

Hii ni E -class ya Jux (ipo boxed zaidi sio curved)👇
SmartSelect_20210723-205043_Chrome.jpg



Pia hiyo system yake kwenye Dashboard (Comand) ya jux ina knob peke yake kwa ajili ya kunavigate menu za system
20210723_205323.jpg


E- Class ya 2018 (W213) ina knob na touchpad
20210723_205553.jpg

Na interior ya W213 ina ambient light angepiga picha lazima tungeiona. In short dashboard ya
W212 ni hii👇
images (81).jpeg

Ya w213 ni hii
images (80).jpeg


Hii ndinga ya jux inatumika sana kama taxi ujerumani kuna kipindi niliwahi kukaa huko kwa mjerumani basi nikiita taxi na app yao kama Uber ndio nilikuwa napanda, angeinunua Diamond ingepondwa sana, ila kwa kuwa ni Jux ndio inapaishwa zaidi🤣
images (82).jpeg
 
Haiwezekani ikawa ya 2018, hiyo ni kama wamepiga modification ya show ya mbele kidogo nikioangalia dashboard yake na hata body ya nyuma ni E class ambayo ipo based kwenye W212.

Ingekuwa ya 2013 (W213) show yake ya nyuma ingekuwa ipo curved zaidi,hasa upande wa taa hiyo ni E class ya 2018 👇
View attachment 1865015
Hii ni E -class ya Jux (ipo boxed zaidi sio curved)👇
View attachment 1865021


Pia hiyo system yake kwenye Dashboard (Comand) ya jux ina knob peke yake kwa ajili ya kunavigate menu za systemView attachment 1865023

E- Class ya 2018 (W213) ina knob na touchpadView attachment 1865025
Na interior ya W213 ina ambient light angepiga picha lazima tungeiona. In short dashboard ya
W212 ni hii👇
View attachment 1865029
Ya w213 ni hii View attachment 1865030

Hii ndinga ya jux inatumika sana kama taxi ujerumani kuna kipindi niliwahi kukaa huko kwa mjerumani basi nikiita taxi na app yao kama Uber ndio nilikuwa napanda, angeinunua Diamond ingepondwa sana, ila kwa kuwa ni Jux ndio inapaishwa zaidi🤣View attachment 1865031
Ujerumani benzi ni taxi tu kama ilivyo naijeria
 
Haiwezekani ikawa ya 2018, hiyo ni kama wamepiga modification ya show ya mbele kidogo nikioangalia dashboard yake na hata body ya nyuma ni E class ambayo ipo based kwenye W212.

Ingekuwa ya 2013 (W213) show yake ya nyuma ingekuwa ipo curved zaidi,hasa upande wa taa hiyo ni E class ya 2018 👇
View attachment 1865015
Hii ni E -class ya Jux (ipo boxed zaidi sio curved)👇
View attachment 1865021


Pia hiyo system yake kwenye Dashboard (Comand) ya jux ina knob peke yake kwa ajili ya kunavigate menu za systemView attachment 1865023

E- Class ya 2018 (W213) ina knob na touchpadView attachment 1865025
Na interior ya W213 ina ambient light angepiga picha lazima tungeiona. In short dashboard ya
W212 ni hii👇
View attachment 1865029
Ya w213 ni hii View attachment 1865030

Hii ndinga ya jux inatumika sana kama taxi ujerumani kuna kipindi niliwahi kukaa huko kwa mjerumani basi nikiita taxi na app yao kama Uber ndio nilikuwa napanda, angeinunua Diamond ingepondwa sana, ila kwa kuwa ni Jux ndio inapaishwa zaidi🤣View attachment 1865031
Hio E-Class nyeusi ndio naielewa katika Model zote za E-Class imekaa sophisticated sana
 
Unamjua Mc hammer, au Mike tyson? Walikua mbingu na ardhi na mondi yaani walikua na hela na umaarufu mara 1000000 ya mondi, walifulia
Fuatilia maisha ya hao uliowataja, hakuna aliyewahi kuwa na investment yaani hata ya mradi wa kuuza viberiti wakati wako kwenye peack ya career yao hivyo usiwalinganishe na Sadala.
Sadala mfananishe na watu ambao waliwekeza nje ya muziki na ambao mpaka leo wanakula matunda ya uwekezaji wao.
 
Back
Top Bottom