Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana kutokana na exposure waliyonayo Ni kubwa hvyo wanainvest kwenye biashara kubwa..JuZi nilikuta mjadala YouTube. Comments huko, wakenya wanasema msanii tajiri east Africa Ni Bobi wine akifatiwa Na chameleon then akothee
Nilipoona TU kichwa Cha habari nikajua we ni mafutaSasahiv kwa mwendo wa mziki unavyoenda kama msanii unatembelea crown a.k.a Nanasi, kafanye biashara nyingine tuu. Maana mziki pekeyake haulipi.
Jux kupitia insta yake leo kaposti msafara wake wa Mercedes na BMW ukienda kupokea helikopta mpya aliyoinunua.
Kuna msanii alinunua RR used dubai leo Uwoya kaposti kakodi Uber ya RR ya gharama zaidi.
Mimi hapa ninachokiona kwenye mbio hizi kuna mtu ataishiwa pumzi tu mda si mrefu.View attachment 1864960
usisahau kumwambia ikifka tz aandae kodi ya kununua crown ya mwijaku kama 25$650,000 x2319=
Jibu ndio thamani ya kuinunua
Achana nae, we huoni anaitwa Instagram [emoji23]Mtoa mada hapendi maendeleo ya Mond. His post (s) says it all.
1. Ulimsifia Jux kwamba kamzidi Mond kimaisha
2. Uwoya kapanda uber RR
3. Hii post
Mwanaume weee? Yatakuja yakushinde mchana kweupe.
Bosi mfano wewe unauza pipi. Faida unapata milioni 10.Hapana ndugu. Usemayo yawezakuwa yalichangia lakini ukweli jamaa hawa walifulia kutokana na matumizi mabovu ya anasa na kushindwa kujitawala. Hammer kwa mfano, maisha ya anasa na kamari yalimmaliza kabisa.
Cheki hapa kufilisika kwa McHammer
![]()
Hahaha Mkuu wanajua ilo ila wanajitoa ufaham tuNi ngumu sana kum downgrade Mondi.. Huyu tayari yuko next to next level...!!!!
Kuna kitu si bureHii ndo kazi ya mtoa mada [emoji1]View attachment 1865211
We always learn from the best.. Not the worst...!!!!Hahaha Mkuu wanajua ilo ila wanajitoa ufaham tu
Unamjua Mc hammer, au Mike tyson? Walikua mbingu na ardhi na mondi yaani walikua na hela na umaarufu mara 1000000 ya mondi, walifulia
Inayobaki anawambatoea mademu zao haters [emoji1]Sio kumi 10 tu kuwa na heshima mzee...angenunua 10 halafu chenji inabaki , hiyo chenji anaenda kuzipiga rims kali zaidi, na plate number ile custom anaita "Diamond 1", "Diamond 2", "Diamond 3"....mpaka "Diamond 10" halafu chenji inabaki anaenda kuzipiga hata seat cover kali halafu chenji inayobaki anazipeleka "Service B" na bado chenji inabaki atajua mwenyewe aifanyie nini [emoji1787]
Usimfananishe Mondi na vitu vya kijinga.Sasahiv kwa mwendo wa mziki unavyoenda kama msanii unatembelea crown a.k.a Nanasi, kafanye biashara nyingine tuu. Maana mziki pekeyake haulipi.
Jux kupitia insta yake leo kaposti msafara wake wa Mercedes na BMW ukienda kupokea helikopta mpya aliyoinunua.
Kuna msanii alinunua RR used dubai leo Uwoya kaposti kakodi Uber ya RR ya gharama zaidi.
Mimi hapa ninachokiona kwenye mbio hizi kuna mtu ataishiwa pumzi tu mda si mrefu.View attachment 1864960
Jay z wakati hana hela alikua anavaa ma cheni hadi kwenye meno na alikua anataja magari ya kifahari kila verse na show off za kijinga ili watu wajue ana hela wakati hana hela.Kwa hiyo unataka nini?
Unataka Mondi asifanye hayo manunuzi ili asijekufulia ama...!?
Unataka kama ni kununua gari anunue Passo au unataka aishije yani...!??
Tyson ni matokeo ya promoter Don King.
Itakua hujajua tabia ya Don King"Unga" na Kamari ndo vimemfilisi Mike Tyson ...