Lulu kuolewa na Majay ulialikwa?Embuuu!
Ujue sijaelewa!
Lulu aliolewa na Majizo, sawa!
Jux alikuwa kimapenzi na Vanessa.
Sasa imekuwaje Lulu yupo kimahaba na Jux, halafu Vanessa na Majizo?
What's wrong?
Lulu kuolewa na Majay ulialikwa?
Hamjui lulu yule!atarogwa ajuteee!!!Mwenzangu, kumbe majizo anapendaga vi portable , khaa , we mwache ajishaue yule Mpare , lulu mwenzie mchawi, atamgeuza sehem za siri sasa hiv [emoji23][emoji23]
Mji mzito huu, Lulu hawezi kwenda kwa Jux, atavumilia hapo kwa Majizo asomeshewe mdogo wake Feza Boys.
Basi kama ni picha ya harusi ilikuwa feki, kama ni ya kuvalishana pete ya uchumba sawaHapana mama niliona picha mtandaoni
Anaangalia future jamani, mwenyewe hata 40 hajafika.Bahili majay
Hamjui lulu yule!ngoja amrogeMwenzangu, kumbe majizo anapendaga vi portable , khaa , we mwache ajishaue yule Mpare , lulu mwenzie mchawi, atamgeuza sehem za siri sasa hiv [emoji23][emoji23]
Basi kama ni picha ya harusi ilikuwa feki, kama ni ya kuvalishana pete ya uchumba sawa
siku akirudi itakuwa kazeze .....Ni Kazezi ni Kazeze.
Hivi mnavyosemaga lulu ni mzuri huwa mnakuwa mnamlinganisha na nani??Jux atampa nn? Kwan lulu hana akili, anajua pa kulenga, uzuri lulu bado ana soko , matajir kibao wanatka kutoa nae
Hivi mnavyosemaga lulu ni mzuri huwa mnakuwa mnamlinganisha na nani??
Mie naangalia COPA America.Hapa naangalia Women Football World Cup game kati ya France na USA, yaani football wanayopiga hawa mademu, wale wachezaji wetu wa Taifa Stars bora watafute kazi nyingine za kufanya tu. Ukiangalia hii game unaona kabisa wale wa kwetu football sio fani yao, wanalazimisha tu.
Na Amber Rutty.
Kingamuzi gani mkuu kinachoonyesha hili soka la amerika kaskazini??Mie naangalia COPA America.
StarTimes Mkuu.Kingamuzi gani mkuu kinachoonyesha hili soka la amerika kaskazini??
Mie naangalia COPA America.
Muda wa nyotaKingamuzi gani mkuu kinachoonyesha hili soka la amerika kaskazini??