Juma jux, Lulu Michael mambo hadharani

Juma jux, Lulu Michael mambo hadharani

Embuuu!

Ujue sijaelewa!

Lulu aliolewa na Majizo, sawa!

Jux alikuwa kimapenzi na Vanessa.

Sasa imekuwaje Lulu yupo kimahaba na Jux, halafu Vanessa na Majizo?

What's wrong?
Lulu kuolewa na Majay ulialikwa?
 
Mwenzangu, kumbe majizo anapendaga vi portable , khaa , we mwache ajishaue yule Mpare , lulu mwenzie mchawi, atamgeuza sehem za siri sasa hiv [emoji23][emoji23]
Hamjui lulu yule!atarogwa ajuteee!!!
 
Mwenzangu, kumbe majizo anapendaga vi portable , khaa , we mwache ajishaue yule Mpare , lulu mwenzie mchawi, atamgeuza sehem za siri sasa hiv [emoji23][emoji23]
Hamjui lulu yule!ngoja amroge
 
Hakika na mpongeza sana kwa kupata mwanamke bora na mke mwema kabisa Vannesa Mdee....
Hongera sana VANNESA.......................
Ukitaka kuona picha za Majizo na Vannesa wakiwa kitandani huko mbeya njoo in box....................

Teh Teh Teh.............................
 
Hapa naangalia Women Football World Cup game kati ya France na USA, yaani football wanayopiga hawa mademu, wale wachezaji wetu wa Taifa Stars bora watafute kazi nyingine za kufanya tu. Ukiangalia hii game unaona kabisa wale wa kwetu football sio fani yao, wanalazimisha tu.
 
Hapa naangalia Women Football World Cup game kati ya France na USA, yaani football wanayopiga hawa mademu, wale wachezaji wetu wa Taifa Stars bora watafute kazi nyingine za kufanya tu. Ukiangalia hii game unaona kabisa wale wa kwetu football sio fani yao, wanalazimisha tu.
Mie naangalia COPA America.
 
Back
Top Bottom