King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Yap Ngoma Nzito kwa Andunje.Naona Argentina wanaongoza goli moja. Wakishinda game hii semi-final wanakutana na Brazil. Andunje kazi anayo.
Ndio kina nani hao?
HahaaaaNa Amber Rutty.
NdioooAhaaa hivi kumbe alivishwa Pete ya uchumba tu?
Kwani imekuwaje?Hah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kama nawaona team lulu wanahamishia matusi kwa Vanessa!
Malipo hapa hapa sosho media!
Ama kweli karma is a bitch!!!Lulu huyuu muiba waume za watu Leo kaibiwa na kimbau mbau Vanessa!!!
Pamoja mkuuStarTimes Mkuu.
Ndiooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Dah!Mimi siyo shoga Aisee Mimi ni mwanaume timamu
Makocha wa taifa starsNdio kina nani hao?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Dah!
Acha kabisaaIsiwe kweli jamani. Majizo kampa heshima sana lulu hapa mjini. Wakiachana lulu atarudi kudanga na kwenye maskendo kama ya zamani.
Hahahhh bandika banduaMji mzito huu, Lulu hawezi kwenda kwa Jux, atavumilia hapo kwa Majizo asomeshewe mdogo wake Feza Boys.
Inaonekana unafahamu mengi lulu awe makiniMji mzito huu, Lulu hawezi kwenda kwa Jux, atavumilia hapo kwa Majizo asomeshewe mdogo wake Feza Boys.