Juma jux, Lulu Michael mambo hadharani

Juma jux, Lulu Michael mambo hadharani

Umelinda na kutunza VIWANGO VYAKO VYA UMBEA hahaha hongera bhana
Jaman mji mzito huu, kwa hiyo Majizo anamla Vanessa Mdee? Khaa poleni akina Lulu na Jux , kama vipi na nyie si mlianzishe, maana mnapendezana hatari, khaa yani V Money jamani ptuuu hadi wewe? Looh pole Lulu mwaego, ndio maana vijembe vilikuwa haviishi insta loh mji mzito , Ahahah , Vanessa and Majiso new couple in town huuView attachment 1141480
 
Embuuu!

Ujue sijaelewa!

Lulu aliolewa na Majizo, sawa!

Jux alikuwa kimapenzi na Vanessa.

Sasa imekuwaje Lulu yupo kimahaba na Jux, halafu Vanessa na Majizo?

What's wrong?
Watakuambia shoga yangu mkuu huku ni Kwa wambea
 
nikipata hela ntawatafuta wafuatao
1.irene uwoya
2.rose ndauka
3.jeni kyaka
4.sanchoka... niipitishe tu kuliko vimba
 
Hahaha Daah! !! Back in the day's nilivyokuwa na tumia app ya IG ..hako kalulu kali kuwaga kana mchamba sana hanisa aise. ....

Naona now shilling imegeuka. .dah 'kweli usimdharau binaadamu mwenzio
Hah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kama nawaona team lulu wanahamishia matusi kwa Vanessa!
Malipo hapa hapa sosho media!

Ama kweli karma is a bitch!!!Lulu huyuu muiba waume za watu Leo kaibiwa na kimbau mbau Vanessa!!!
 
Lulu sasa hivi anakalia taito tu kwa majay pale ila ashachoka kiukweli baasi tu na vile dogo anasoma feza nafikiri anasubiri dogo aingie form one atoke kwa majay
Hahaha Daah! !! Back in the day's nilivyokuwa na tumia app ya IG ..hako kalulu kali kuwaga kana mchamba sana hanisa aise. ....

Naona now shilling imegeuka. .dah 'kweli usimdharau binaadamu mwenzio
 
Wewe kimekuleta nn huku?

Habari za kike maana yake ni nini?

Unazijua habari za kike?

Mimi sitaki mkundu aisee tafuta wa kukufir**
Tuliza mku.ndu we "shoga jinga" mi sifi.ri.
 
Back
Top Bottom