Juma Kapuya: Sihusiki na Athuman Kapuya Foundation iliyofungiwa kwa kashfa za ushoga

Juma Kapuya: Sihusiki na Athuman Kapuya Foundation iliyofungiwa kwa kashfa za ushoga

Profesa Juma Athuman Kapuya amejitokeza na kuwakemea wote wanaomchafua kwa kumhusisha na Taaisi ya Athuman Kapuya ambayo ilifungiwa na serikali kwa kuhusika na kashfa ya ushoga.

Kapuya amesema kwamba yeye jina lake ni Juma Athuman Kapuya, huku baba yake akiitwa Athuman Kapuya. Mama yake alipofariki dunia, baba yake mzazi alioa mwanamke mwingine na wakapata watoto. Kati ya hao watoto yupo Yasin Athuman Kapuya ambaye katika kumuenzi Baba yake mzazi akaamua kuanzisha Athuman Kapuya Foundation.

Profesa Kapuya kasema si yeye, mke wake au watoto wake wanaojihusisha na foundation hiyo. Anadai siku taasisi hiyo inafunguliwa alishiriki kuifungua na aliitwa aje kueleza Mzee Athuman Kapuya alikuwa mtu wa namna gani.

Profesa Kapuya amedai kuwa ana miaka zaidi ya 20 hajaonana na ndugu yake huyo mhusika wa taasisi hiyo kwani Yasini Kapuya anaishi Marekani.

Ameongeza kuwa watu wanaweza kwenda Serikalini kufuatilia hasa nani mmiliki wa hiyo Taasisi ili waache kuchafua jina lake kwa jambo lisilomhusu.

Pia soma
Bora tumejua zaidi. Kumbe huyo mhusika anaishi marekani kwa hiyo mpango wake kula hela za wamerekani ni kushiriki mpango wao kueneza ushoga. Hatujui kama mwenyewe amenusurika kuingizwa ushoga.
Walaaniwe wamarekani kwa kupanga kutugeuza afrika mashoga.
 
ila kweli sisi waafrika tuna laana. Yaani watu wamekuzidi kila kitu, unatumia mitandao waliyotengeneza wao, unatumia nguo, silaha, elimu , bado kila kukicha mnashinda kwao kuomba misaada, bado wanawadai madeni kibao lakini unawaita wapumbavu?!!
Kweli afrika ni Laaanaa kubwa sana
Anayeenda kuomba sio mimi ni rais wako. Tafadhali usinihusishe kwenye upuuzi huo. Mwanamme mzima unajitambulisha umeolewa na mwanaume mwenzio halafu unajisifia kuwa umeendelea. Kama maendeleo ndio hayo si bora ufe maskini.
 
Anayeenda kuomba sio mimi ni rais wako. Tafadhali usinihusishe kwenye upuuzi huo. Mwanamme mzima ujanitambulisha umeolewa na mwanaume mwenzio halafu unajisifia kuwa umeendelea. Kama maendeleo ndio hayo si bora ufe maskini.
ningekuona wa maana ungekataa na madawa wanayotengeza, ungekataa na simu unazotumia kuandika hapa sasahivi. Bado hatujaona misimamo unaosema bora Ufe Ungekataa na magari unayotumia kwenye harakati zako, ungekataa na ndege wanazotengeneza, ungekataa na nguo wanazoleta. Bado hatujaona msimamo zaidi ya unafiki uliojaa. Unakubali vipi kutumia vitu vya watu unaowaita wapumbavu?
 
ningekuona wa maana ungekataa na madawa wanayotengeza, ungekataa na simu unazotumia kuandika hapa sasahivi. Bado hatujaona misimamo unaosema bora Ufe Ungekataa na magari unayotumia kwenye harakati zako, ungekataa na ndege wanazotengeneza, ungekataa na nguo wanazoleta. Bado hatujaona msimamo zaidi ya unafiki uliojaa. Unakubali vipi kutumia vitu vya watu unaowaita wapumbavu?
Hayo yote hayahalalishi mwanaume kuolewa. Naona hili limekugusa sana. Baki na upuuzi wako. Naona kila uzi wewe ni league tu kwenye comment zako.
 
Hayo yote hayahalalishi mwanaume kuolewa. Naona hili limekugusa sana. Baki na upuuzi wako. Naona kila uzi wewe ni league tu kwenye comment zako.
wewe ndio mpuuzi, kuwaita watu mpaka wanaokusaidia kwa kila kitu wapumbavu wakati huna unalojiweza. Ujinga ufanye wewe usingizie wazungu. Kwani afrika Mbona hao watu wapo kibao, Kwanini usemi waafrika wapumbavu? Kosa la watu baadhi unajumuisha wazungu?! Utakuwa na shida ndugu yangu wewe
 
Profesa Juma Athuman Kapuya amejitokeza na kuwakemea wote wanaomchafua kwa kumhusisha na Taaisi ya Athuman Kapuya ambayo ilifungiwa na serikali kwa kuhusika na kashfa ya ushoga.

Kapuya amesema kwamba yeye jina lake ni Juma Athuman Kapuya, huku baba yake akiitwa Athuman Kapuya. Mama yake alipofariki dunia, baba yake mzazi alioa mwanamke mwingine na wakapata watoto. Kati ya hao watoto yupo Yasin Athuman Kapuya ambaye katika kumuenzi Baba yake mzazi akaamua kuanzisha Athuman Kapuya Foundation.

Profesa Kapuya kasema si yeye, mke wake au watoto wake wanaojihusisha na foundation hiyo. Anadai siku taasisi hiyo inafunguliwa alishiriki kuifungua na aliitwa aje kueleza Mzee Athuman Kapuya alikuwa mtu wa namna gani.

Profesa Kapuya amedai kuwa ana miaka zaidi ya 20 hajaonana na ndugu yake huyo mhusika wa taasisi hiyo kwani Yasini Kapuya anaishi Marekani.

Ameongeza kuwa watu wanaweza kwenda Serikalini kufuatilia hasa nani mmiliki wa hiyo Taasisi ili waache kuchafua jina lake kwa jambo lisilomhusu.

Pia soma
hyo sentensi yake tu ya mwisho kwamba ndugu yake huyo anaishi Marekani na kwamba ANAMIAKA ZAIDI YA 20 hajaonana naye ni proof tosha kwamba anahusika na taasisi hyo.Aache mbwembwe😂
 
Profesa Juma Athuman Kapuya amejitokeza na kuwakemea wote wanaomchafua kwa kumhusisha na Taaisi ya Athuman Kapuya ambayo ilifungiwa na serikali kwa kuhusika na kashfa ya ushoga.

Kapuya amesema kwamba yeye jina lake ni Juma Athuman Kapuya, huku baba yake akiitwa Athuman Kapuya. Mama yake alipofariki dunia, baba yake mzazi alioa mwanamke mwingine na wakapata watoto. Kati ya hao watoto yupo Yasin Athuman Kapuya ambaye katika kumuenzi Baba yake mzazi akaamua kuanzisha Athuman Kapuya Foundation.

Profesa Kapuya kasema si yeye, mke wake au watoto wake wanaojihusisha na foundation hiyo. Anadai siku taasisi hiyo inafunguliwa alishiriki kuifungua na aliitwa aje kueleza Mzee Athuman Kapuya alikuwa mtu wa namna gani.

Profesa Kapuya amedai kuwa ana miaka zaidi ya 20 hajaonana na ndugu yake huyo mhusika wa taasisi hiyo kwani Yasini Kapuya anaishi Marekani.

Ameongeza kuwa watu wanaweza kwenda Serikalini kufuatilia hasa nani mmiliki wa hiyo Taasisi ili waache kuchafua jina lake kwa jambo lisilomhusu.

Pia soma
Ni ngumu sana kutuaminisha hiki.
 
Juma Kapuya atangaza kugombea nafasi ya ubunge jimbo la urambo...
Nilipo soma hii habari nilishtuka sana mazeeee....🤣
Jimbo la Uraambo ama Jimbo la Kaliua? Yeye yuko Kaliua, au kabadili gia angani?
 
ila kweli sisi waafrika tuna laana. Yaani watu wamekuzidi kila kitu, unatumia mitandao waliyotengeneza wao, unatumia nguo, silaha, elimu , bado kila kukicha mnashinda kwao kuomba misaada, bado wanawadai madeni kibao lakini unawaita wapumbavu?!!
Kweli afrika ni Laaanaa kubwa sana
Halafu wala hatuko serious katika kupiga vita ushoga. Na hatuwezi. Naleta mada very soon.
 
Back
Top Bottom