lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
Lakini si sahihi kumhukumu kwa kutumia jina au undugu!
Lakini si ni ndugu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini si sahihi kumhukumu kwa kutumia jina au undugu!
Ww haupendi au unatumia sabuni au una shida ya nguvu za kiume.Mwanaume yeyote rijali na ana afya yake kudonoa muhimu😋Huyu mzee katoka kuoa juzi binti wa miaka 20, atakuwa anahusika anapenda sn maswala ya ngono ngono
Heh!! Itakuwa maajabu......anasema anataka kugombea ubunge!!
Bora tumejua zaidi. Kumbe huyo mhusika anaishi marekani kwa hiyo mpango wake kula hela za wamerekani ni kushiriki mpango wao kueneza ushoga. Hatujui kama mwenyewe amenusurika kuingizwa ushoga.Profesa Juma Athuman Kapuya amejitokeza na kuwakemea wote wanaomchafua kwa kumhusisha na Taaisi ya Athuman Kapuya ambayo ilifungiwa na serikali kwa kuhusika na kashfa ya ushoga.
Kapuya amesema kwamba yeye jina lake ni Juma Athuman Kapuya, huku baba yake akiitwa Athuman Kapuya. Mama yake alipofariki dunia, baba yake mzazi alioa mwanamke mwingine na wakapata watoto. Kati ya hao watoto yupo Yasin Athuman Kapuya ambaye katika kumuenzi Baba yake mzazi akaamua kuanzisha Athuman Kapuya Foundation.
Profesa Kapuya kasema si yeye, mke wake au watoto wake wanaojihusisha na foundation hiyo. Anadai siku taasisi hiyo inafunguliwa alishiriki kuifungua na aliitwa aje kueleza Mzee Athuman Kapuya alikuwa mtu wa namna gani.
Profesa Kapuya amedai kuwa ana miaka zaidi ya 20 hajaonana na ndugu yake huyo mhusika wa taasisi hiyo kwani Yasini Kapuya anaishi Marekani.
Ameongeza kuwa watu wanaweza kwenda Serikalini kufuatilia hasa nani mmiliki wa hiyo Taasisi ili waache kuchafua jina lake kwa jambo lisilomhusu.
Pia soma
Duh hatari sana hiiHuko kwenye mashirika ya Kimataifa wanatambukishana mashoga na wanapigiwa makofi. Wazungu ni wapumbavu sana.
View attachment 3013928
We jamaa unataka kusemaje?🤣🤣🤣Lakini ni Ndugu.
🤣 🤣 🤣Umeeleweka Prof..rudi sasa ndani, ukampetipeti bi mdogo..June hii,baridii
Toba!!!Huko kwenye mashirika ya Kimataifa wanatambukishana mashoga na wanapigiwa makofi. Wazungu ni wapumbavu sana.
View attachment 3013928
Anayeenda kuomba sio mimi ni rais wako. Tafadhali usinihusishe kwenye upuuzi huo. Mwanamme mzima unajitambulisha umeolewa na mwanaume mwenzio halafu unajisifia kuwa umeendelea. Kama maendeleo ndio hayo si bora ufe maskini.ila kweli sisi waafrika tuna laana. Yaani watu wamekuzidi kila kitu, unatumia mitandao waliyotengeneza wao, unatumia nguo, silaha, elimu , bado kila kukicha mnashinda kwao kuomba misaada, bado wanawadai madeni kibao lakini unawaita wapumbavu?!!
Kweli afrika ni Laaanaa kubwa sana
ningekuona wa maana ungekataa na madawa wanayotengeza, ungekataa na simu unazotumia kuandika hapa sasahivi. Bado hatujaona misimamo unaosema bora Ufe Ungekataa na magari unayotumia kwenye harakati zako, ungekataa na ndege wanazotengeneza, ungekataa na nguo wanazoleta. Bado hatujaona msimamo zaidi ya unafiki uliojaa. Unakubali vipi kutumia vitu vya watu unaowaita wapumbavu?Anayeenda kuomba sio mimi ni rais wako. Tafadhali usinihusishe kwenye upuuzi huo. Mwanamme mzima ujanitambulisha umeolewa na mwanaume mwenzio halafu unajisifia kuwa umeendelea. Kama maendeleo ndio hayo si bora ufe maskini.
Hayo yote hayahalalishi mwanaume kuolewa. Naona hili limekugusa sana. Baki na upuuzi wako. Naona kila uzi wewe ni league tu kwenye comment zako.ningekuona wa maana ungekataa na madawa wanayotengeza, ungekataa na simu unazotumia kuandika hapa sasahivi. Bado hatujaona misimamo unaosema bora Ufe Ungekataa na magari unayotumia kwenye harakati zako, ungekataa na ndege wanazotengeneza, ungekataa na nguo wanazoleta. Bado hatujaona msimamo zaidi ya unafiki uliojaa. Unakubali vipi kutumia vitu vya watu unaowaita wapumbavu?
wewe ndio mpuuzi, kuwaita watu mpaka wanaokusaidia kwa kila kitu wapumbavu wakati huna unalojiweza. Ujinga ufanye wewe usingizie wazungu. Kwani afrika Mbona hao watu wapo kibao, Kwanini usemi waafrika wapumbavu? Kosa la watu baadhi unajumuisha wazungu?! Utakuwa na shida ndugu yangu weweHayo yote hayahalalishi mwanaume kuolewa. Naona hili limekugusa sana. Baki na upuuzi wako. Naona kila uzi wewe ni league tu kwenye comment zako.
Na anajua kuruka, rejea alivyomruka yule binti kinda aliyezaa nayeMzee kaamua kuruka kiunzi
hyo sentensi yake tu ya mwisho kwamba ndugu yake huyo anaishi Marekani na kwamba ANAMIAKA ZAIDI YA 20 hajaonana naye ni proof tosha kwamba anahusika na taasisi hyo.Aache mbwembwe😂Profesa Juma Athuman Kapuya amejitokeza na kuwakemea wote wanaomchafua kwa kumhusisha na Taaisi ya Athuman Kapuya ambayo ilifungiwa na serikali kwa kuhusika na kashfa ya ushoga.
Kapuya amesema kwamba yeye jina lake ni Juma Athuman Kapuya, huku baba yake akiitwa Athuman Kapuya. Mama yake alipofariki dunia, baba yake mzazi alioa mwanamke mwingine na wakapata watoto. Kati ya hao watoto yupo Yasin Athuman Kapuya ambaye katika kumuenzi Baba yake mzazi akaamua kuanzisha Athuman Kapuya Foundation.
Profesa Kapuya kasema si yeye, mke wake au watoto wake wanaojihusisha na foundation hiyo. Anadai siku taasisi hiyo inafunguliwa alishiriki kuifungua na aliitwa aje kueleza Mzee Athuman Kapuya alikuwa mtu wa namna gani.
Profesa Kapuya amedai kuwa ana miaka zaidi ya 20 hajaonana na ndugu yake huyo mhusika wa taasisi hiyo kwani Yasini Kapuya anaishi Marekani.
Ameongeza kuwa watu wanaweza kwenda Serikalini kufuatilia hasa nani mmiliki wa hiyo Taasisi ili waache kuchafua jina lake kwa jambo lisilomhusu.
Pia soma
Ni ngumu sana kutuaminisha hiki.Profesa Juma Athuman Kapuya amejitokeza na kuwakemea wote wanaomchafua kwa kumhusisha na Taaisi ya Athuman Kapuya ambayo ilifungiwa na serikali kwa kuhusika na kashfa ya ushoga.
Kapuya amesema kwamba yeye jina lake ni Juma Athuman Kapuya, huku baba yake akiitwa Athuman Kapuya. Mama yake alipofariki dunia, baba yake mzazi alioa mwanamke mwingine na wakapata watoto. Kati ya hao watoto yupo Yasin Athuman Kapuya ambaye katika kumuenzi Baba yake mzazi akaamua kuanzisha Athuman Kapuya Foundation.
Profesa Kapuya kasema si yeye, mke wake au watoto wake wanaojihusisha na foundation hiyo. Anadai siku taasisi hiyo inafunguliwa alishiriki kuifungua na aliitwa aje kueleza Mzee Athuman Kapuya alikuwa mtu wa namna gani.
Profesa Kapuya amedai kuwa ana miaka zaidi ya 20 hajaonana na ndugu yake huyo mhusika wa taasisi hiyo kwani Yasini Kapuya anaishi Marekani.
Ameongeza kuwa watu wanaweza kwenda Serikalini kufuatilia hasa nani mmiliki wa hiyo Taasisi ili waache kuchafua jina lake kwa jambo lisilomhusu.
Pia soma
Nakumbuka vizuri hilo tukioNa anajua kuruka, rejea alivyomruka yule binti kinda aliyezaa naye
Jimbo la Uraambo ama Jimbo la Kaliua? Yeye yuko Kaliua, au kabadili gia angani?Juma Kapuya atangaza kugombea nafasi ya ubunge jimbo la urambo...
Nilipo soma hii habari nilishtuka sana mazeeee....🤣
Halafu wala hatuko serious katika kupiga vita ushoga. Na hatuwezi. Naleta mada very soon.ila kweli sisi waafrika tuna laana. Yaani watu wamekuzidi kila kitu, unatumia mitandao waliyotengeneza wao, unatumia nguo, silaha, elimu , bado kila kukicha mnashinda kwao kuomba misaada, bado wanawadai madeni kibao lakini unawaita wapumbavu?!!
Kweli afrika ni Laaanaa kubwa sana
Fashiooooooooooooooon!!!!Ushoga mbona umetrend sana?