Juma Kapuya: Sihusiki na Athuman Kapuya Foundation iliyofungiwa kwa kashfa za ushoga

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umaskini unavurugaa watu balaa. Famchezo nn
 
Mnachekesha nyie watu, hivi ugumu wa maisha ndo unawavuruga hivyooo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu wala hatuko serious katika kupiga vita ushoga. Na hatuwezi. Naleta mada very soon.
Utakapoletaa hiyo mada, naomba unitag niwe seat ya Derevaa kabisaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hayo yote hayahalalishi mwanaume kuolewa. Naona hili limekugusa sana. Baki na upuuzi wako. Naona kila uzi wewe ni league tu kwenye comment zako.
Wee ndo limekugusa, na likakufanya upovukwee na kuwaita wazungu wapumbavu, mwanaume mwingine kuolewa, wee inaku touch vipi?

Umepewa makavu yako unabaki kuhaha, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleeeeee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umaskini unavurugaa watu balaa. Famchezo nn
Halafu lenyewe linajiona Lina akili wakati linatumia kila kitu kutoka huko huko, likiumwa linakimbilia kutumia dawa zao, nguo anavaa zinazotengenezwa kutoka kwenye mashine wanazotengeneza wao, usaifiri anaoutumia, chakula anachokula kina processiwa na mashine walizotengeneza wao Halafu eti anawaita wapumbavu. Kama sio ugonjwa wa akili ni nini? Wanafanya badhi ya wazungu anasema wazungu wapumbavu kwanini asemi waafrika wanaofanya hayo ni wapumbavu?
 
Endelea kuwageuzia mkuu ndio utakuwa tajiri na kuukimbia umaskini.
 
Anayepinga na anaye support nani mgeuzaji. Wacha mimi nife masikini wewe wakutoboe m.ndu utajirike.
Ni wapi umepinga? Hata wewe ni miongoni mwao wala hatusumbuki na uongo wako hapa.
Umepinga watu wapumbavu lakini nado unatumia vitu vya watu wapumbVu umepinga nini? Embu toka mbele tuone unachopinga? Kuliko kujificha kwa id feki
 

kwenye ile video nilisika hasira sana mpaka nikasema watu wengine wana bahati kuwa mimi siyo rais ,wangekuwa wameshalamba mavumbi ya ardhi
unaleta msaada ndani yake kuna cancer cells,kuna chemicals ambazo ni dhulu uzazi ? daaah .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…