Sasa tatizo nn? Mpumbavu ni wewee ambaye hata kifaa unachotumia kuropokwa wametengeneza hao unaoita wapumbavu.Huko kwenye mashirika ya Kimataifa wanatambukishana mashoga na wanapigiwa makofi. Wazungu ni wapumbavu sana.
View attachment 3013928
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umaskini unavurugaa watu balaa. Famchezo nnila kweli sisi waafrika tuna laana. Yaani watu wamekuzidi kila kitu, unatumia mitandao waliyotengeneza wao, unatumia nguo, silaha, elimu , bado kila kukicha mnashinda kwao kuomba misaada, bado wanawadai madeni kibao lakini unawaita wapumbavu?!!
Kweli afrika ni Laaanaa kubwa sana
Mnachekesha nyie watu, hivi ugumu wa maisha ndo unawavuruga hivyooo?Bora tumejua zaidi. Kumbe huyo mhusika anaishi marekani kwa hiyo mpango wake kula hela za wamerekani ni kushiriki mpango wao kueneza ushoga. Hatujui kama mwenyewe amenusurika kuingizwa ushoga.
Walaaniwe wamarekani kwa kupanga kutugeuza afrika mashoga.
Utakapoletaa hiyo mada, naomba unitag niwe seat ya Derevaa kabisaaa.Halafu wala hatuko serious katika kupiga vita ushoga. Na hatuwezi. Naleta mada very soon.
Wee ndo limekugusa, na likakufanya upovukwee na kuwaita wazungu wapumbavu, mwanaume mwingine kuolewa, wee inaku touch vipi?Hayo yote hayahalalishi mwanaume kuolewa. Naona hili limekugusa sana. Baki na upuuzi wako. Naona kila uzi wewe ni league tu kwenye comment zako.
Huko sahihi ukizingatia ni mzee na profesa mtaalam wa mimea.Lakini si sahihi kumhukumu kwa kutumia jina au undugu!
KinyaaaHuko kwenye mashirika ya Kimataifa wanatambukishana mashoga na wanapigiwa makofi. Wazungu ni wapumbavu sana.
View attachment 3013928
Kaliua limekufa anataka kwenda kuua UramboJimbo la Uraambo ama Jimbo la Kaliua? Yeye yuko Kaliua, au kabadili gia angani?
Halafu lenyewe linajiona Lina akili wakati linatumia kila kitu kutoka huko huko, likiumwa linakimbilia kutumia dawa zao, nguo anavaa zinazotengenezwa kutoka kwenye mashine wanazotengeneza wao, usaifiri anaoutumia, chakula anachokula kina processiwa na mashine walizotengeneza wao Halafu eti anawaita wapumbavu. Kama sio ugonjwa wa akili ni nini? Wanafanya badhi ya wazungu anasema wazungu wapumbavu kwanini asemi waafrika wanaofanya hayo ni wapumbavu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umaskini unavurugaa watu balaa. Famchezo nn
Imewagusa wahusikaSasa tatizo nn? Mpumbavu ni wewee ambaye hata kifaa unachotumia kuropokwa wametengeneza hao unaoita wapumbavu.
Jinga wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kuwageuzia mkuu ndio utakuwa tajiri na kuukimbia umaskini.wewe ndio mpuuzi, kuwaita watu mpaka wanaokusaidia kwa kila kitu wapumbavu wakati huna unalojiweza. Ujinga ufanye wewe usingizie wazungu. Kwani afrika Mbona hao watu wapo kibao, Kwanini usemi waafrika wapumbavu? Kosa la watu baadhi unajumuisha wazungu?! Utakuwa na shida ndugu yangu wewe
Hata wewe endelea kuwageuzia hao unaoshinda nao hapoEndelea kuwageuzia mkuu ndio utakuwa tajiri na kuukimbia umaskini.
Anayepinga na anaye support nani mgeuzaji. Wacha mimi nife masikini wewe wakutoboe m.ndu utajirike.Hata wewe endelea kuwageuzia hao unaoshinda nao hapo
Ni wapi umepinga? Hata wewe ni miongoni mwao wala hatusumbuki na uongo wako hapa.Anayepinga na anaye support nani mgeuzaji. Wacha mimi nife masikini wewe wakutoboe m.ndu utajirike.
Profesa Juma Athuman Kapuya amejitokeza na kuwakemea wote wanaomchafua kwa kumhusisha na Taaisi ya Athuman Kapuya ambayo ilifungiwa na serikali kwa kuhusika na kashfa ya ushoga.
Kapuya amesema kwamba yeye jina lake ni Juma Athuman Kapuya, huku baba yake akiitwa Athuman Kapuya. Mama yake alipofariki dunia, baba yake mzazi alioa mwanamke mwingine na wakapata watoto. Kati ya hao watoto yupo Yasin Athuman Kapuya ambaye katika kumuenzi Baba yake mzazi akaamua kuanzisha Athuman Kapuya Foundation.
Profesa Kapuya kasema si yeye, mke wake au watoto wake wanaojihusisha na foundation hiyo. Anadai siku taasisi hiyo inafunguliwa alishiriki kuifungua na aliitwa aje kueleza Mzee Athuman Kapuya alikuwa mtu wa namna gani.
Profesa Kapuya amedai kuwa ana miaka zaidi ya 20 hajaonana na ndugu yake huyo mhusika wa taasisi hiyo kwani Yasini Kapuya anaishi Marekani.
Ameongeza kuwa watu wanaweza kwenda Serikalini kufuatilia hasa nani mmiliki wa hiyo Taasisi ili waache kuchafua jina lake kwa jambo lisilomhusu.
Pia soma
Naheshimu ndoa yanguWw haupendi au unatumia sabuni au una shida ya nguvu za kiume.Mwanaume yeyote rijali na ana afya yake kudonoa muhimu😋
Wao kujiajiri noA
Anautaka tena ubunge 😂
Oly in dark continent especially TanzagizaWao kujiajiri no
Ili asipate ubunge tenaToo little too late.
Jina la Kapuya limechafuka!
Umefanya character assasination bossHuyu mzee katoka kuoa juzi binti wa miaka 20, atakuwa anahusika anapenda sn maswala ya ngono ngono