Juma Kaseja akabidhiwa zawadi ya milioni 10 na Paul Makonda

Juma Kaseja akabidhiwa zawadi ya milioni 10 na Paul Makonda

Acha roho mbaya iliyochanganyikana na wivu, nakuona unaelekea kuwa mchawi, yule aliyepewa milioni 10 mala ya kwanza mbona hukulalamika ila kapewa kaseja unalalamika! Na je aliyetoa hiyo pesa in TFF au wizara ya michezo? Makonda katoa binafsi ht ww unaweza kwenda kumpa unayeamini alicheza vzr ila km hiyo pesa ingetolewa na TFF au wizira ya michezo hoja yako ingekuwa na mashiko, nahitimisha kwa kusema acha wivu wa kike kike
 
Wote wapewe Hizo Mil 10 waache kumpendelea Huyo Kaseja kwani mabeki wangelala Kaseja angefungwa Goli moja tu??? Vip samata aliefunga Goli moja na kufanya Iwe suluhuu je asingefunga na Kaseja akafungwa hilo goli moja[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Tuache standard za kifalaa kama Hakuna uwezo wa kuwapa wote Bora Bashite atuliee tuu..
 
Acha roho mbaya iliyochanganyikana na wivu, nakuona unaelekea kuwa mchawi, yule aliyepewa milioni 10 mala ya kwanza mbona hukulalamika ila kapewa kaseja unalalamika! Na je aliyetoa hiyo pesa in TFF au wizara ya michezo? Makonda katoa binafsi ht ww unaweza kwenda kumpa unayeamini alicheza vzr ila km hiyo pesa ingetolewa na TFF au wizira ya michezo hoja yako ingekuwa na mashiko, nahitimisha kwa kusema acha wivu wa kike kike
Bashite na makipa tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Why samata hajapewa na kafunga goli???
 
Ni bora mimi nimezisemea roho halisi za kiafrika kuliko kukaa kuumilia,je unadhani wachezaji wengine wako na mioyo myeupe?
Wewe ndio wale ambao mwisho wa mwaka mtumishi akipewa zawadi ya mfanyakazi bora unalalamika kwani kazi alikuwa anafanya mwenyewe? Ktk maisha kuna vitu huwa vinatokea tu huwezi kuvizuia? So jifunze kukubaliana na uhalisia vinginevyo utakuwa mtu wa kulalamikia kila kitu!
 
Wote wapewe Hizo Mil 10 waache kumpendelea Huyo Kaseja kwani mabeki wangelala Kaseja angefungwa Goli moja tu??? Vip samata aliefunga Goli moja na kufanya Iwe suluhuu je asingefunga na Kaseja akafungwa hilo goli moja[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Tuache standard za kifalaa kama Hakuna uwezo wa kuwapa wote Bora Bashite atuliee tuu..
Chuki zenu ni kwakuwa amepewa kaseja na aliyetoka ni makonda lkn mm sioni tatizo kwasababu makonda katoa binafsi ila km pesa ingetolewa na TFF au wizara inayosimamia michezo ndio tungehesabu kama ubaguzi au kugawa wachezaji, lkn pesa kutolewa na makonda sio kitu ht ww unaweza kwenda kumpa mchezaji unaeona alifanya vzr ktk ile mechi na hakuna anayeweza kukulazimisha uwape wachezaji wt wkt kwa pesa yako una option umpe nani na nani usimpe so acheni wivu kwa mwanaume mwenzenu kupata mbona alivyopata yule wa kwanza kwenye AFCON hamkulalamika?
 
Ile ni zawadi ya Paul kwa Juma wewe inakuhusu nini?

Ingekuwa zawadi ya Nchi ndio ungehoji

Na wewe ukitaka kampe Unaemtaka acheni kujifanya Maafisa Mipango wa Wallet za wengine
 
Bashite na makipa tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Why samata hajapewa na kafunga goli???
Ndio maana nimekwambia bashite sio taasisi inayosimamia michezo au wizara, na elewa ile pesa hakutoa km Ofisi ya Mkuu wa mkoa bali alitoa kwa mapenzi yake sasa inakuwaje kumpangia awape wachezaji wote? Na je alipompa wa mwanzo mbona hamkulalamika zaidi ya kumzihaki kwamba ni basha ake? Acheni hizo sometimes katika maisha kuna vitu vinatokea vyenyewe tu
 
Ile ni zawadi ya Paul kwa Juma wewe inakuhusu nini?

Ingekuwa zawadi ya Nchi ndio ungehoji

Na wewe ukitaka kampe Unaemtaka acheni kujifanya Maafisa Mipango wa Wallet za wengine
Kuna watu wana wivu na chuki, huyo kaseja kaichezea stars mechi kibao mpk anaelekea kustaafu Leo kapewa milioni 10 wanalalamika? Kuna watu wanalalamika kila wkt bila ht kufikiria
 
Acha kuwa na kijiba
#watu8 hakuna mwenye kijiba bali kumbuka wachezaji ni binadamu wana roho wana majukumu wana mahitaji na wote kazi ni moja tu USHINDI kwa busara ni vyema kuwajali wote.
 
Hii team bado amna kitu,kwanza kabisa hawana ulinzi wa kutosha mabeki wote cheche tuh,mbele wote butu wanashinda kwa bahati na sibu sanaaaa
 
Si kuna taasisi zinakuwa na ujinga wa kuchagua Mfanyakazi Bora kila mwaka?!

Sasa, sahau habari za Mfanyakazi Bora, na badala yake chagua Wafanyakazi 10 Bora wa taasisi husika kisha waachie waiendeshe peke yao!! Wao sio ndio BORA kuliko wote bhana!!

Rudi tena mwisho wa mwaka kisha pima tena maendeleo ya taasisi iliyokuwa inaendeshwa na Wafanyakazi 10 Bora watupu bila "vilaza au wazugaji" kisha linganisha na maendeleo yaliyokuwa yanapatikana wakati ndani yake kuna "vilaza na wazugaji"!!
 
Kuna watu wana wivu na chuki, huyo kaseja kaichezea stars mechi kibao mpk anaelekea kustaafu Leo kapewa milioni 10 wanalalamika? Kuna watu wanalalamika kila wkt bila ht kufikiria
Tunaozungumza hapa tinaipenda TAIFA STARS kuliko kaseja.
 
Chuki zenu ni kwakuwa amepewa kaseja na aliyetoka ni makonda lkn mm sioni tatizo kwasababu makonda katoa binafsi ila km pesa ingetolewa na TFF au wizara inayosimamia michezo ndio tungehesabu kama ubaguzi au kugawa wachezaji, lkn pesa kutolewa na makonda sio kitu ht ww unaweza kwenda kumpa mchezaji unaeona alifanya vzr ktk ile mechi na hakuna anayeweza kukulazimisha uwape wachezaji wt wkt kwa pesa yako una option umpe nani na nani usimpe so acheni wivu kwa mwanaume mwenzenu kupata mbona alivyopata yule wa kwanza kwenye AFCON hamkulalamika?
hujui chochote kuhusu football we saizi yako ni kina demiss mkajadili rede au mdako "humu unapuyanga tuu.
 
Ndio maana nimekwambia bashite sio taasisi inayosimamia michezo au wizara, na elewa ile pesa hakutoa km Ofisi ya Mkuu wa mkoa bali alitoa kwa mapenzi yake sasa inakuwaje kumpangia awape wachezaji wote? Na je alipompa wa mwanzo mbona hamkulalamika zaidi ya kumzihaki kwamba ni basha ake? Acheni hizo sometimes katika maisha kuna vitu vinatokea vyenyewe tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mkuu sema bashite ndo anakuwa Kikwazo bhasi maana kibinadamu huwezi vumilia Kuona umepiga kazi nzito na wenzako alafu kwa manufaa ya wote sio yako binasfi lakini mwisho wa siku Mwenzenu mmoja ndo anaonekana zaidi wengine kapuni
 
Ndio maana nimekwambia bashite sio taasisi inayosimamia michezo au wizara, na elewa ile pesa hakutoa km Ofisi ya Mkuu wa mkoa bali alitoa kwa mapenzi yake sasa inakuwaje kumpangia awape wachezaji wote? Na je alipompa wa mwanzo mbona hamkulalamika zaidi ya kumzihaki kwamba ni basha ake? Acheni hizo sometimes katika maisha kuna vitu vinatokea vyenyewe tu
kwa jinsi unavyopingana na hekima na busara no longer utavuna tu KINACHOPANDWA.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mkuu sema bashite ndo anakuwa Kikwazo bhasi maana kibinadamu huwezi vumilia Kuona umepiga kazi nzito na wenzako alafu kwa manufaa ya wote sio yako binasfi lakini mwisho wa siku Mwenzenu mmoja ndo anaonekana zaidi wengine kapuni
Ningelikiwa nimejitolea mimi Huku kitaa mzee JUMASITA isingekuwa issue!,kumbuka aliyetoa ni MKUU WA MKOA,ili ni kofia tofauti./hata hivyo busara ni kamchango chako KUIKABIDHI TIMU.
 
Back
Top Bottom