Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua hiyo michezo uliyotaja hajaacha ndio maana umeipatia snhujui chochote kuhusu football we saizi yako ni kina demiss mkajadili rede au mdako "humu unapuyanga tuu.
HakikaWewe ndio wale ambao mwisho wa mwaka mtumishi akipewa zawadi ya mfanyakazi bora unalalamika kwani kazi alikuwa anafanya mwenyewe? Ktk maisha kuna vitu huwa vinatokea tu huwezi kuvizuia? So jifunze kukubaliana na uhalisia vinginevyo utakuwa mtu wa kulalamikia kila kitu!
Ndo maana huwa kuna man of the match,japokuwa huwa wapo 22 uwanjani. Juma Kaseja ka stand out na siyo ku fit inKwani mpira alicheza mwenyewe tu uwanjani? mpaka apewe zawadi wengine wasiambulie chochote.
Ni bora mimi nimezisemea roho halisi za kiafrika kuliko kukaa kuumilia,je unadhani wachezaji wengine wako na mioyo myeupe?
Nimeset profile yangu ndezi kama wewe msione kitu. Niambie umepenyaje kwenye chujioYani member wa 2014 unaongea pumba hivi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba imepenya kwenye chujio[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Nimeset profile yangu ndezi kama wewe msione kitu. Niambie umepenyaje kwenye chujio