Juma Kasim Nature a.k.a kiroboto a.k.a kibra. ....

Watu walikuwa kama wako kwenye maandamano barabarani,kufika pool side Giza na vurugu mtindo mmoja,.ila lilikuwa bonge la shazi
Ilikuwa balaaaa
Kulikuwaga na wahuni fulani wanatoka feri
Wanakaba balaaaa

Ova
 
"Mjerui wa Simba Chui mjerui wa Mbogo"

Mpaka leo sijui Nature alikuwa anamanisha nini!
 
Mwingene katoka ndan kaacha kunyonyesha, eti kajuma nature hakaa hakana hata nyama
 
"anakwenda pale mohamed hussein anapiga mpira GOOOOOOOOOOAAALL, maskini ya Mungu kumbe mpira upo kati...."
Anatokea mtu sijui ana utahira gani...eti nilikuwa nauliza kiingilio shingapi?
 
Huyo juma necha mwenyewe mbayaaaaa!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
mamdogo siimbi nyimbo ili kutafta uzuri
 
Mtakufa na migundi gundi ya roho mliyonayo hivyo. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…