Ilikuwa balaaaaWatu walikuwa kama wako kwenye maandamano barabarani,kufika pool side Giza na vurugu mtindo mmoja,.ila lilikuwa bonge la shazi
Ilikuwa balaaaa
Kulikuwaga na wahuni fulani wanatoka feri
Wanakaba balaaaa
Ova
"Mjerui wa Simba Chui mjerui wa Mbogo"SITAKI DEMU
Nakuomba usije kwetu mamdogo utatia hasara
Uyo mdogo wangu mwenyewe toka atoke shule hajala
Aaah bwana eh usinifate bwana
We si ukalale uwape mbu faida bwana
Hivi aliyekwambia uzime taa humu ndani nani
Kila ukija nyumbani we unaondoka
Kila ukija nyumbani we unaondoka
Nimetokea upande wa pili nmeenda kwa kina bashir
Na usije kwetu hakuna kitenge wala kanga
Shauri ukija wazazi wangu watakuona mwanga
Nakumbuka ile siku ambayo umenisemelea kwa dingi
Ukadai ya kwamba me uwa nachanganya mitungi
Na kwenye kula ganja kilasiku sijivungi
Ukaondoka na cheko nyuma ukaacha kivumbi
Aya sasa unaona mwenzio umeniachia zogo
Eeti kajuma kenyewe ndyo haka!!
Gari ikagoma kwenda.Nyimbo inaniuma sana.
Verse......."akapigwa denda hadi gari ikashindwa kuwaka"
Utajiju!Mwingene katoka ndan kaacha kunyonyesha, eti kajuma nature hakaa hakana hata nyama
ugali hadi vibogoyo wanamumunya..."Gurugujaah...gurugujah!"......Ukiutukana ugali haki ya Mungu nakustaki.....
Guruguja...gurugujah,,, nature alikuwa chizi sana...ugali hata kibogoyo anakula, si atamung'unya ...
Anatokea mtu sijui ana utahira gani...eti nilikuwa nauliza kiingilio shingapi?"anakwenda pale mohamed hussein anapiga mpira GOOOOOOOOOOAAALL, maskini ya Mungu kumbe mpira upo kati...."
kwani we unadhania usela ni kuwapora watu? Au kulazimisha watu walale saa 3?"Usivamie vitu ovyo utaenda kombo,msela mtu safi ana moyo safi wakiskauti kama leader Nyaki au masta Shafii"