Juma Kasim Nature a.k.a kiroboto a.k.a kibra. ....

Juma Kasim Nature a.k.a kiroboto a.k.a kibra. ....

Watu walikuwa kama wako kwenye maandamano barabarani,kufika pool side Giza na vurugu mtindo mmoja,.ila lilikuwa bonge la shazi
Ilikuwa balaaaa
Kulikuwaga na wahuni fulani wanatoka feri
Wanakaba balaaaa

Ova
 
SITAKI DEMU
Nakuomba usije kwetu mamdogo utatia hasara
Uyo mdogo wangu mwenyewe toka atoke shule hajala
Aaah bwana eh usinifate bwana
We si ukalale uwape mbu faida bwana
Hivi aliyekwambia uzime taa humu ndani nani

Kila ukija nyumbani we unaondoka

Kila ukija nyumbani we unaondoka
Nimetokea upande wa pili nmeenda kwa kina bashir
Na usije kwetu hakuna kitenge wala kanga
Shauri ukija wazazi wangu watakuona mwanga

Nakumbuka ile siku ambayo umenisemelea kwa dingi
Ukadai ya kwamba me uwa nachanganya mitungi
Na kwenye kula ganja kilasiku sijivungi
Ukaondoka na cheko nyuma ukaacha kivumbi
Aya sasa unaona mwenzio umeniachia zogo
"Mjerui wa Simba Chui mjerui wa Mbogo"

Mpaka leo sijui Nature alikuwa anamanisha nini!
 
Mwingene katoka ndan kaacha kunyonyesha, eti kajuma nature hakaa hakana hata nyama
 
"anakwenda pale mohamed hussein anapiga mpira GOOOOOOOOOOAAALL, maskini ya Mungu kumbe mpira upo kati...."
Anatokea mtu sijui ana utahira gani...eti nilikuwa nauliza kiingilio shingapi?
 
Huyo juma necha mwenyewe mbayaaaaa!
😂😂😂😂😂😂
mamdogo siimbi nyimbo ili kutafta uzuri
 
Mtakufa na migundi gundi ya roho mliyonayo hivyo. 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom