donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Mambo vipi wakuu,
Habari za weekend? Moja kwa moja kwenye mada, Sir nature ni mmoja ya manguli wa bongo flava tangu kitambo mpaka sasa. Hapo zamani necha alikua ana uandishi flani hivi ambapo lyrics zake zilikua zina vituko au mambo ya kuchekesha mfano:
Titi mundi mundaranga ndio mkong'oto nliopanga hata ukiwanga,
Kanya kajaza,
Umroge mtoto wa mtu kisa kaangua makungu,
Alenii yenuuu,mapiganiyenuuu,
Watoto mkianza kula wa kwanza kupakua nyama[emoji23][emoji23][emoji23],
Kigwendungwendungwendulile chakula cha mwanga usile etc.
Hebu nawewe tupia yako baadhi ya verse za necha zilizowahi kukufurahisha
Habari za weekend? Moja kwa moja kwenye mada, Sir nature ni mmoja ya manguli wa bongo flava tangu kitambo mpaka sasa. Hapo zamani necha alikua ana uandishi flani hivi ambapo lyrics zake zilikua zina vituko au mambo ya kuchekesha mfano:
Titi mundi mundaranga ndio mkong'oto nliopanga hata ukiwanga,
Kanya kajaza,
Umroge mtoto wa mtu kisa kaangua makungu,
Alenii yenuuu,mapiganiyenuuu,
Watoto mkianza kula wa kwanza kupakua nyama[emoji23][emoji23][emoji23],
Kigwendungwendungwendulile chakula cha mwanga usile etc.
Hebu nawewe tupia yako baadhi ya verse za necha zilizowahi kukufurahisha