Juma Lokole ampaisha Diamond Platnumz

Juma Lokole ampaisha Diamond Platnumz

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
1,393
Reaction score
3,237
Kiukweli katika siku za hivi karibuni Juma Lokole amekuwa akimpaisha sana Diamond platnumz kupitia akaunti yake ya Instagram kwa kumpost kila mara.

Ni vyema Diamond platnumz akamfikiria kumuongeza mshahara maana kazi anayoifanya Juma Lokole ya kumtangaza mtandaoni kwa kumpost kila mara ni kubwa na inamuongezea mashabiki Diamond.

Ikumbukwe kwamba diamond platnumz ndiye msanii aliyefanikiwa kutumia mitandao ya kijamii ipasavyo kujitangaza.
IMG_20200517_204148_003.jpeg
IMG_20200517_204219_963.jpeg
IMG_20200517_204252_688.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nendeni mkakeshe kwenye nyumba za ibada kuombea Corona, alisikika kiongozi mmoja wa ngazi za juu.
 
Si wanatoka kimapenzi ao wawili??? Hahahahahahaha nacheka in tanasha voice [emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli katika siku za hivi karibuni Juma Lokole amekuwa akimpaisha sana Diamond platnumz kupitia akaunti yake ya Instagram kwa kumpost kila mara.

Ni vyema Diamond platnumz akamfikiria kumuongeza mshahara maana kazi anayoifanya Juma Lokole ya kumtangaza mtandaoni kwa kumpost kila mara ni kubwa na inamuongezea mashabiki Diamond.

Ikumbukwe kwamba diamond platnumz ndiye msanii aliyefanikiwa kutumia mitandao ya kijamii ipasavyo kujitangaza.View attachment 1452917View attachment 1452918View attachment 1452919

Sent using Jamii Forums mobile app


Japo simjuwi huyo dogo Juma ila nahisi atakuwa mshikishwaji ukuta tu, wewe utampost vipi mwanamme mwenzio na kumsifia kila kukicha?
 
Kiukweli katika siku za hivi karibuni Juma Lokole amekuwa akimpaisha sana Diamond platnumz kupitia akaunti yake ya Instagram kwa kumpost kila mara.

Ni vyema Diamond platnumz akamfikiria kumuongeza mshahara maana kazi anayoifanya Juma Lokole ya kumtangaza mtandaoni kwa kumpost kila mara ni kubwa na inamuongezea mashabiki Diamond.

Ikumbukwe kwamba diamond platnumz ndiye msanii aliyefanikiwa kutumia mitandao ya kijamii ipasavyo kujitangaza.View attachment 1452917View attachment 1452918View attachment 1452919

Sent using Jamii Forums mobile app
Juma lokole mzee wa kupiiz insta
 
Hivi mkeo au GF wako akijua mitandaoni unapost vitu kama hivi atajisikiaje??
Naongea na wewe muanzisha thread sio juma lokole.
 
Back
Top Bottom