Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,237
Kiukweli katika siku za hivi karibuni Juma Lokole amekuwa akimpaisha sana Diamond platnumz kupitia akaunti yake ya Instagram kwa kumpost kila mara.
Ni vyema Diamond platnumz akamfikiria kumuongeza mshahara maana kazi anayoifanya Juma Lokole ya kumtangaza mtandaoni kwa kumpost kila mara ni kubwa na inamuongezea mashabiki Diamond.
Ikumbukwe kwamba diamond platnumz ndiye msanii aliyefanikiwa kutumia mitandao ya kijamii ipasavyo kujitangaza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vyema Diamond platnumz akamfikiria kumuongeza mshahara maana kazi anayoifanya Juma Lokole ya kumtangaza mtandaoni kwa kumpost kila mara ni kubwa na inamuongezea mashabiki Diamond.
Ikumbukwe kwamba diamond platnumz ndiye msanii aliyefanikiwa kutumia mitandao ya kijamii ipasavyo kujitangaza.
Sent using Jamii Forums mobile app