..................Mkuu tusi liko wapi hapo?maana kama mtihani hili ni jibu la kupata max kabisa.ingawa nakuona ni smart Ila sikujua kumbe na wewe una matusi
Itakua ni Doctor of Philadefya (PhD)Wenzake wote wenye PhD za UDSM wapo Lumumba yeye wamemsahau vipi?
We kila siku ni WCB tu walikubakia mke wako Nini?Vishabiki Vingi vya Wcb Vina uzwazwa
Huo ujinga Umenunua Duka Gani?
Daah unakosea sana aisee nani kakwambia huyo ni kijana wa kiume wakati ilishathibitka ni mchelemcheleKwanza anabugi sana jamaa,mtoto wa kiume anashobo kila uchwao ni kuongelea maisha ya wengine anatuangusha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana connectionWenzake wote wenye PhD za UDSM wapo Lumumba yeye wamemsahau vipi?
Kama zinatuletea washindi bila kupingwa kwanini ziheshimike
Imethibika ni nyumba kubwa ya babalaoDaah unakosea sana aisee nani kakwambia huyo ni kijana wa kiume wakati ilishathibitka ni mchelemchele
UDSM siku hizi hawajui kuandika?huyo jamaa c angetaja hat CBE , kakikoxea heshima chuo chetu cha udsm!!
Kwa jinsi ulivyoandika inaonekana kweli UDSM ni mamburula tu.huyo jamaa c angetaja hat CBE , kakikoxea heshima chuo chetu cha udsm!!
πππππKwa jinsi ulivyoandika inaonekana kweli UDSM ni mamburula tu.
Stupid kabisa, mhitimu wa chuo kikuu unaandika mpaka nikisoma nachafukwa na roho natamani ungekuwa karibu nikuchape makofi.
π π π ndio Mkuu yaani nimecheka apa kama mwehu walahHuyu boya kasema ana PDF. [emoji3][emoji3][emoji3]