kakikoxea[emoji777]huyo jamaa c angetaja hat CBE , kakikoxea heshima chuo chetu cha udsm!!
Tobaahuyo jamaa c angetaja hat CBE , kakikoxea heshima chuo chetu cha udsm!!
Tuliza Kinyeo Wewe Juma LokoleWe kila siku ni WCB tu walikubakia mke wako Nini?
Hawezi kuwa serious PDF [emoji38]
Na ukute huyo ni mtoto wa kiume jamani, mwanaume unaandikaje hivyo etiNawew [emoji777]
Na wewe[emoji818]️
Na ukute huyo ni mtoto wa kiume jamani, mwanaume unaandikaje hivyo eti
Sent using Jamii Forums mobile app
1. huyo hata simuelewei - kutoka form six hadi PhD? Bila degree hata moja?Mchambaji maarufu kunako Instagram Juma Harji alimaarufu kama Juma Lokole amesema ana PhD ya ualimu kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
Juma Lokole ameyasema hayo wakati akihojjwa na Dizzim online
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera zake kwa elimu aliyoipata if at all ni kweli. Kumbe inawezekana hata wasomi wa kiwango cha PhD kutumia elimu yake katika tasnia ya Uchambaji.Mchambaji maarufu kunako Instagram Juma Harji alimaarufu kama Juma Lokole amesema ana PhD ya ualimu kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
Juma Lokole ameyasema hayo wakati akihojjwa na Dizzim online
Sent using Jamii Forums mobile app