technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Ansante sana bint wangu wa pekee kwa kujuwa soka alfu huropokagi kama Kalpana [emoji1787][emoji1787]Mkiambiwa usajili ni kitu muhimu, mnakuja kubeza hapa mchezaji kununuliwa kwa mamilioni...
Kila mtu ashinde mechi zake [emoji87][emoji87][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi si juzi tu mtu kala 4 O'clock leo kocha hafai, wachezaji wabovu kweli?Benchi limejaa wachezaji wabovu wasiokuwa na msaada wowote kwa timu,...
Kibu, Mkude ,Bocco, Akpan,Kapama,Okwa,na mazombie wengine lazima waondoke Simba..tusajili watu wa kazi....vinginevyo Utopolo ataendelea kutesa
Mkuu,,huyu bocco si amepika hat trick hapa juzi tu?Benchi limejaa wachezaji wabovu wasiokuwa na msaada wowote kwa timu,...
Kibu, Mkude ,Bocco, Akpan,Kapama,Okwa,na mazombie wengine lazima waondoke Simba..tusajili watu wa kazi....vinginevyo Utopolo ataendelea kutesa
[emoji847][emoji16]Benchi limejaa wachezaji wabovu wasiokuwa na msaada wowote kwa timu,...
Kibu, Mkude ,Bocco, Akpan,Kapama,Okwa,na mazombie wengine lazima waondoke Simba..tusajili watu wa kazi....vinginevyo Utopolo ataendelea kutesa
Mbeya city sio wa mchezo tuwe na akiba ya manenoJuma Mgunda atabebeshwa zigo la lawama.
Ila ukweli ni kwamba Simba ni mbovu watu tulisema toka mwanzo kwamba simba ni mbovu tukaishia kutukanwa.
Njooni jumamosi taifa muone Mbeya city atakavyo gongwa bao nyingi na yanga ndio mtajua tatizo la simba sio kocha shida ni timu mbovu.
Juma Mgunda asiwe mbuzi wa kafara tatizo la simba ni Quality ya wachezaji.
Kwanza Kama leo ilitakiwa simba afe bao hata 4 halafu bao lao ni offside!!.
Nashauri Mgunda abaki na yanga mwezi 3 mapema kabisa atatangaza ubingwa!!
Bocco si kapiga hat trick juzi kati au?Benchi limejaa wachezaji wabovu wasiokuwa na msaada wowote kwa timu,...
Kibu, Mkude ,Bocco, Akpan,Kapama,Okwa,na mazombie wengine lazima waondoke Simba..tusajili watu wa kazi....vinginevyo Utopolo ataendelea kutesa
Hadi unashangaa kama wanafanya makusudi iseeBenchi limejaa wachezaji wabovu wasiokuwa na msaada wowote kwa timu,...
Kibu, Mkude ,Bocco, Akpan,Kapama,Okwa,na mazombie wengine lazima waondoke Simba..tusajili watu wa kazi....vinginevyo Utopolo ataendelea kutesa