Juma Mgunda atema mabovu kuhusu Cloutus Chama

Juma Mgunda atema mabovu kuhusu Cloutus Chama

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
“Ni mchezaji huru, ni mchezaji mwenye kutaka wazo la kwenda kucheza, lazima mjue Chama ni Mzambia na shughuli yake ni kuchez mpira, msubirini chama mumuulize yeye mwenyewe, sisi kama Simba tunazungumzia ya kwetu, Chama anatuhusu nini tena? Unashangaa nini Chama kutoka Simba? Kwani kaziliwa Simba yule?... Ulitaka kuondoka kwake kunishtue nini? Labda mngeniambia Chama kaacha kucheza mpira na kujiunga na Diamond, au Alikiba tungejuliza ni kwanini? Chama ni mtu mzima, ana utimamu wake, heshimuni maamuzi ya mtu, sisi tunazungumza ya kwetu, kuitengeneza Simba.” – Juma Mgunda


Juma kamaliza kila kitu, mjadala umefungwa!
 
View attachment 3033005
Juma kamaliza kila kitu, mjadala umefungwa
ni majibu tu yametolewa kwa ukali na mwalimu na hajanyooka ila huo ndiyo uhalisia wenyewe.
Chama hajazaliwa simba anaweza kucheza popote anapoona panamfaa, sasa waandishi wanataka ionekane kila mtu ameshangaa kuhama kwake.

Big up ankali.
 
ni majibu tu yametolewa kwa ukali na mwalimu na hajanyooka ila huo ndiyo uhalisia wenyewe.
Chama hajazaliwa simba anaweza kucheza popote anapoona panamfaa, sasa waandishi wanataka ionekane kila mtu ameshangaa kuhama kwake.

Big up ankali.
Amesemaje kwani?
 
Hujamjua muhasibu vizuri ni mkurupukaji siajabu hata yeye hajaiangalia hiyoo video
Huu utaratibu wa FB waurudishe huko huko JF tunataka Video na maelezo sio unaweka Video maelezo hakuna Juma Mgunda anasemaje? We Mwasibu OKW BOBAN SUNZU Mgunda anasemaje kwenye Video humo TOA maelezo wengine hamjatununulia Bando
 
Alafu huu utaratibu wa kuweka video bila maelezo ya kwenye Video inasema nini mmeanza lini? Mnatafuta viewers au? TOA maelezo amesema nini wengine hamjatununulia Bando huku
Naunga mkono hoja. Siyo kila mtu pia humu jukwaani ana wasaa mzuri wa kuangalia clips za matukio. Isipokuwa kusoma ndiyo huwa rahisi kwao.
 
Waandishi wataufungua. Leo watamtafuta Mgunda, kesho Try Again, siku nyingine Magori, nyingine Mo. Kwao kipindi kinaingiza hela maana wanakuwa wamepata content
Kama Mgunda ameumia kiasi Cha ku panic uku uswahilini Hali ni mbaya Sana.
 
Back
Top Bottom