Juma Mgunda atema mabovu kuhusu Cloutus Chama

Juma Mgunda atema mabovu kuhusu Cloutus Chama

Kama Mgunda ameumia kiasi Cha ku panic uku uswahilini Hali ni mbaya Sana.
Mimi ni mnyama haswa. Ningeumia kama Chama angeenda Yanga kwa hela ndogo. Lakini kwa kuchota $150,000 ya usajili na $13,000 ya salary kila mwezi, hakika acha aende tu akachukue hela. Chama anachota sh. Milioni 776 kwa mwaka mmoja tu. Hiyo ni hela ndefu sana. Kwa lugha nyingine, Chama anatumia 3% ya bajeti yote ya Yanga ya msimu ujao
 
Walidhani watu wangepanic, kumbe mtu kaondoka watu wanaendelea na maisha yao kama kawa. Sitashangaa Simba kutotoa taarifa zake hadi mwishoni kabisa mwa zoezi la usajili.

Safari hii tunataka tuangalie na mchezaji mwenyewe anahandle vipi kuondoka kwake. Ile video waliyofanya Yanga ya Mkude na yeye kutoikemea huku Simba wakiendelea kumshobokea sijui kumkaribisha Simba Day haitakiwi kujirudia.
 
Ila nawasifu washabiki wa Simba, wameonyesha uelewa mkubwa Sana.
Nakumbuka Nyonzina alipohamia Simba baadhi ya mashabiki walichoma moto jezi zake lakini Simba wameacha lipite Kama tukio la kawaida.
Mpira wa Sasa mchezaji anatanguliza maslahi yake binafsi Mambo ya upenzi.wanaachiwa mashabiki ambao kwa uelewa mdogo wapo tayari wabishane, watukanane na wengine hata kupigana.
 
Dah umaskini bado mkubwa sana. Kama video ina MB 4 TU, mtu analalamika hivi
 
Ila nawasifu washabiki wa Simba, wameonyesha uelewa mkubwa Sana.
Nakumbuka Nyonzina alipohamia Simba baadhi ya mashabiki walichoma moto jezi zake lakini Simba wameacha lipite Kama tukio la kawaida.
Mpira wa Sasa mchezaji anatanguliza maslahi yake binafsi Mambo ya upenzi.wanaachiwa mashabiki ambao kwa uelewa mdogo wapo tayari wabishane, watukanane na wengine hata kupigana.
Mchezaji wa Mpira ni muajiriwa na sio shabiki wa tumu hio...
Ni kama vile mashabiki wa yanga wanaona aziz ki au pakome watafia yanga kumbe hawajui pakome ana ofa 2 kubwa za misri, sasa ukiwaambia hivyo wanakujia juu
 
Mimi ni mnyama haswa. Ningeumia kama Chama angeenda Yanga kwa hela ndogo. Lakini kwa kuchota $150,000 ya usajili na $13,000 ya salary kila mwezi, hakika acha aende tu akachukue hela. Chama anachota sh. Milioni 776 kwa mwaka mmoja tu. Hiyo ni hela ndefu sana. Kwa lugha nyingine, Chama anatumia 3% ya bajeti yote ya Yanga ya msimu ujao

Muulize huyo kapuku anaeongea hivyo, yeye anaropoka ameingiza shilingi ngapi, ? Chama yeye kashatia milioni 700+ ( bongo tamu) , yeye hapo ataenda kuprinti picha yake na kwenda kuwatambishia wanasimba kua wameumia tena kwenye jua kali... Umaskkini mbaya sana.
 
Mimi ni mnyama haswa. Ningeumia kama Chama angeenda Yanga kwa hela ndogo. Lakini kwa kuchota $150,000 ya usajili na $13,000 ya salary kila mwezi, hakika acha aende tu akachukue hela. Chama anachota sh. Milioni 776 kwa mwaka mmoja tu. Hiyo ni hela ndefu sana. Kwa lugha nyingine, Chama anatumia 3% ya bajeti yote ya Yanga ya msimu ujao
Heee ndo wamempa hela zote hizo. Jamaa wajinga kweli
 
Back
Top Bottom