Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huu ndio ujumbe wangu kwako , wewe Juma ni kocha mwenye leseni kubwa sana , CV yako haihitaji maelezo , unastahili kuongoza kikosi , hustahili kuwa kocha wa mazoezi .
Nakushauri , usikubali kuwa msaidizi , tafuta timu nyingine ya Ligi kuu uifundishe, nina hakika utatoboa tu .
Nakushauri , usikubali kuwa msaidizi , tafuta timu nyingine ya Ligi kuu uifundishe, nina hakika utatoboa tu .