Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
AtakataaWamchukue Ndayiragije atawafaa.
Kwahy tukusaidie nnHana jipya, wachezaji ni wale wale hadi mwisho wa msimu. Kama forward butu, Mwambusi hawezi kuiwezesha tena maana Nchimbi na Sarpong ni wale wale. Kama defence ni mbovu, Mwambusi hawezi kuiimarisha maana Lamine na Mwamnyeto ni wale wale. Yanga wasubiri tu msimu mpya, vinginevyo hata huyu watamfukuza
... kutafuta wachezaji wa msimu ujao, maana msimu huu imeshaisha hiyoKwahy tukusaidie nn
Huyo alipokuwa azam, alifanya nini cha ajabu?!!mpira wa nchi hii makocha mtawasingizia tu!!Wamchukue Ndayiragije atawafaa wasikimbilie wazungu wasioijua ligi yetu, wazungu waachiwe Simba tu wa kimataifa.
we si ulituambia anaumwa jino, amepona?KOCHA MPYA AKIJA, MWAMBUSI ABAKI KOCHA MSAIDIZI
AMEPONAwe si ulituambia anaumwa jino, amepona?
๐๐๐we si ulituambia anaumwa jino, amepona?
Huyo Mwambusi ndiyo kamfanyia figisu Kaze hadi kafukuzwa shule. Ama kweli uchawi hupo.