H Hziyech22 JF-Expert Member Joined Jun 8, 2019 Posts 15,351 Reaction score 21,362 Sep 11, 2023 #361 Pianist said: Siku Nature akialikwa ku-perform Simba/Yanga day ndiyo utaijua thamani yake. Click to expand... Waache kuwaiita wakina mondi, Alikiba, harmonize,Rayvanny, Mbosso n.k Ndio aitwe nature mkuu?
Pianist said: Siku Nature akialikwa ku-perform Simba/Yanga day ndiyo utaijua thamani yake. Click to expand... Waache kuwaiita wakina mondi, Alikiba, harmonize,Rayvanny, Mbosso n.k Ndio aitwe nature mkuu?
mbongo_halisi JF-Expert Member Joined Apr 16, 2010 Posts 7,074 Reaction score 5,486 Sep 11, 2023 #362 Kumbe kweli wasanii wa bongo fleva hawajasoma, yaani Juma Nature anaandika Kiswahili kama Zamaradi Mketema na mumewe, hawajuwi kutofautisha maneno, wao kazi unga unga tu.
Kumbe kweli wasanii wa bongo fleva hawajasoma, yaani Juma Nature anaandika Kiswahili kama Zamaradi Mketema na mumewe, hawajuwi kutofautisha maneno, wao kazi unga unga tu.
Jackson996 JF-Expert Member Joined Oct 5, 2019 Posts 773 Reaction score 1,355 Sep 12, 2023 #363 Mlolongo said: Hela anayoingiza Chino anaweza kukununulia zigo la chupi kiasi usiwe unafua chupi... Wewe ni kuvaa na kutupa kwenye [emoji2781] maisha yako yote. Click to expand... Vijana tatzo lenu mnadanganyika na maisha ya mtandaon
Mlolongo said: Hela anayoingiza Chino anaweza kukununulia zigo la chupi kiasi usiwe unafua chupi... Wewe ni kuvaa na kutupa kwenye [emoji2781] maisha yako yote. Click to expand... Vijana tatzo lenu mnadanganyika na maisha ya mtandaon
Jackson996 JF-Expert Member Joined Oct 5, 2019 Posts 773 Reaction score 1,355 Sep 12, 2023 #364 Ninacho waza kama Nature wametaka kumlipa 500k asa wakina Wozu kusa na wenzie wanalipwa sh ngap Aya Matamasha inaonekana n pasua kichwa
Ninacho waza kama Nature wametaka kumlipa 500k asa wakina Wozu kusa na wenzie wanalipwa sh ngap Aya Matamasha inaonekana n pasua kichwa
H Hziyech22 JF-Expert Member Joined Jun 8, 2019 Posts 15,351 Reaction score 21,362 Sep 12, 2023 #365 Jackson996 said: Ninacho waza kama Nature wametaka kumlipa 500k asa wakina Wozu kusa na wenzie wanalipwa sh ngap Aya Matamasha inaonekana n pasua kichwa Click to expand... sasa nature ana ukubwa gani?
Jackson996 said: Ninacho waza kama Nature wametaka kumlipa 500k asa wakina Wozu kusa na wenzie wanalipwa sh ngap Aya Matamasha inaonekana n pasua kichwa Click to expand... sasa nature ana ukubwa gani?
Countrywide JF-Expert Member Joined Mar 2, 2015 Posts 20,694 Reaction score 32,527 Sep 12, 2023 #366 Muziki una hela mwanzo unapoingia, hela nyingi zipo mwishoni hutozifikia
Tayana-wog JF-Expert Member Joined Feb 26, 2012 Posts 24,844 Reaction score 29,126 Sep 13, 2023 #367 Lavit said: Mbona kulikuwa na story et Nature ni Tajiri Click to expand... 🤣🤣🤣
DR HAYA LAND JF-Expert Member Joined Dec 26, 2017 Posts 23,928 Reaction score 63,499 Sep 14, 2023 #368 500k kwa necha hii ndogo