mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,544
Soniaaaaaa......mi nakupendaaaa....njoo tuliaaaa....tupeane d......ndaaa.Anaitwa Juma Kassim wale watu wazee tunaofia rap "isiyo ya kukopi" yenye radha ya "rap katuni" tunamuita Sir Juma Nature Kiroboto "Mwanaume Halisi'
Kijana huyu ana historia nzito sa a kwenye game ya rap hapa Bongo. Mkuu wenu sijaja kutoa historia yake,nimekuja na Top Five ya Nature ambayo binafsi huwa nikisikiliza tracks hizi moyo wangu husuuzika katika kiwango cha juu sana.
1.Hili Game (Zote ft TID/Mr.Paul
2.Radhia ft Doro
3.Mzee wa Busara ft Inspector Haroon
4.Mtoto Idi
5.Ubinadamu Kazi
Bonus
1. Shemeji
2.Jinsi Kijana
3.Mgambo
2001 hiyoo.