Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Kuna kitu kinaitwa UTASHI, kipaji kikikosa utashi bado ni tatizo, Utashi ukikosekana ndio matokeo ya kuona binadam anfanya mambo tofauti na matarajio, kushindwa kujua wapi ufanye nini , muda gani na kwa nini. Utashi ndio unatutofautisha sisi binadam na wanyama.
hakika!