Juma Nature: Nina miaka 37 sijafika hata 40

Juma Nature: Nina miaka 37 sijafika hata 40

Ninavyomfahamu JUma Nature ni kwamba alizaliwa mwaka 1980 na kwa sasa ana 43, sababu mwenzake Mulla na mmoja wao kwenye kundi lao la muziki la TMK nimemsahau jina, niliwapita madarasa mawili pale Kibasila nilikuwa naishi nao jirani kota za Bora pale Keko
Unachoongea ni Kweli. KR alisema ameisho kota. Nature kama sio 1980 itakuwa 81.
 
Hivi kwa nini wabongo hawapendi kuonekana wana umri mkubwa?hivi kuwa mkubwa ni dhambi kwa hapa bongo?
Huyu nature nimeanza kumsikia na kumuona kwa TV toka niko primary school na yeye alikua ni mkaka wa above 20+years.leo mimi nina miaka 35 afu nature ana 37?
Maajabu ya Musa haya.
 
Ubaya nayo google huwa haidanganyi
 

Attachments

  • Screenshot_20240906_220802.jpg
    Screenshot_20240906_220802.jpg
    323.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom