Juma Nature: Nina miaka 37 sijafika hata 40

Juma Nature: Nina miaka 37 sijafika hata 40

Mkongwe wa muziki wa bongofleva, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature anasema watu waache kumzushia kama amezeeka wakati ndio kwanza ana miaka 37 hajafika hata miaka 40. Yeye bado kijana mdogo wasimuite mzee.

My take:
Nature ameingia kwenye mkumbo wa dada yetu Wema Sepetu, ambae hajawahi kuvuka miaka 28 tangu mimi nikiwa mdogo. Kwanini mastaa wanapenda kurudisha miaka nyuma?

Uongo wa karne ..enzi za nature kuna mwamba alikua promoter wake..promoter alikua wa 1978 lakini nature akawa anamuit a promoter mdogo wangu .akibisba aseme nimkumbushe promoter jina gani na walikua marafiki mno..nature hakosi 44
 
Hahhah,mimi nina miaka 18.Huyu Juma mimi nipo primary ninamsikia mimi nina 36 na July ninagonga 37.Yeye ana 37 haya bwana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkongwe wa muziki wa bongofleva, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature anasema watu waache kumzushia kama amezeeka wakati ndio kwanza ana miaka 37 hajafika hata miaka 40. Yeye bado kijana mdogo wasimuite mzee.

My take:
Nature ameingia kwenye mkumbo wa dada yetu Wema Sepetu, ambae hajawahi kuvuka miaka 28 tangu mimi nikiwa mdogo. Kwanini mastaa wanapenda kurudisha miaka nyuma?

Pesa hawana,ukitizama Sina pesa ohhh pesa,akaunti zimenuna!!
Mtu kama Lady jay D,hawezi kuogopa umri,hata lishangazi shish baby,umri kwake sio shida,ila Hawa,uwoya,Kamala,wema,siku zote wanataka waonekane kama zuchu au luby
 
Jamani acheni kuwakalia kooni wahenga,Umri unatisha kama huna kitu,harafu unaona madogo wanaupiga mwingi!na wewe hata deal huna,
Yaani Nature anataka kusema yeye na Mond ni lika Moja!!!
 
Mkongwe wa muziki wa bongofleva, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature anasema watu waache kumzushia kama amezeeka wakati ndio kwanza ana miaka 37 hajafika hata miaka 40. Yeye bado kijana mdogo wasimuite mzee.

My take:
Nature ameingia kwenye mkumbo wa dada yetu Wema Sepetu, ambae hajawahi kuvuka miaka 28 tangu mimi nikiwa mdogo. Kwanini mastaa wanapenda kurudisha miaka nyuma?

[emoji1787][emoji1787]
 
Why watu wanapenda kuonekana wadogo? Hata shikamo hawataki! Basi tukubariane hii salamu ifutwe
 
Back
Top Bottom