Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
Hapana nature ni wa 1980 ana 43Na hapo walipunguza umri ndio maana hata tarehe hawajaandika, nature ni wa 1976
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana nature ni wa 1980 ana 43Na hapo walipunguza umri ndio maana hata tarehe hawajaandika, nature ni wa 1976
Mambo!.Kiroboto mjani umeharibu ubongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Uongo wa karne ..enzi za nature kuna mwamba alikua promoter wake..promoter alikua wa 1978 lakini nature akawa anamuit a promoter mdogo wangu .akibisba aseme nimkumbushe promoter jina gani na walikua marafiki mno..nature hakosi 44Mkongwe wa muziki wa bongofleva, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature anasema watu waache kumzushia kama amezeeka wakati ndio kwanza ana miaka 37 hajafika hata miaka 40. Yeye bado kijana mdogo wasimuite mzee.
My take:
Nature ameingia kwenye mkumbo wa dada yetu Wema Sepetu, ambae hajawahi kuvuka miaka 28 tangu mimi nikiwa mdogo. Kwanini mastaa wanapenda kurudisha miaka nyuma?
Hapo ntakubaliHapana nature ni wa 1980 ana 43
Mambo!.
Nakuja pm tuyajenge boss
Nakuja pm tuyajenge boss
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhah,mimi nina miaka 18.Huyu Juma mimi nipo primary ninamsikia mimi nina 36 na July ninagonga 37.Yeye ana 37 haya bwana.
Uongo wa karne ..enzi za nature kuna mwamba alikua promoter wake..promoter alikua wa 1978 lakini nature akawa anamuit a promoter mdogo wangu .akibisba aseme nimkumbushe promoter jina gani na walikua marafiki mno..nature hakosi 44
Itakuwa ameanza kuimba akiwa mdogo sana
Pesa hawana,ukitizama Sina pesa ohhh pesa,akaunti zimenuna!!Mkongwe wa muziki wa bongofleva, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature anasema watu waache kumzushia kama amezeeka wakati ndio kwanza ana miaka 37 hajafika hata miaka 40. Yeye bado kijana mdogo wasimuite mzee.
My take:
Nature ameingia kwenye mkumbo wa dada yetu Wema Sepetu, ambae hajawahi kuvuka miaka 28 tangu mimi nikiwa mdogo. Kwanini mastaa wanapenda kurudisha miaka nyuma?
[emoji1787][emoji1787]Mkongwe wa muziki wa bongofleva, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature anasema watu waache kumzushia kama amezeeka wakati ndio kwanza ana miaka 37 hajafika hata miaka 40. Yeye bado kijana mdogo wasimuite mzee.
My take:
Nature ameingia kwenye mkumbo wa dada yetu Wema Sepetu, ambae hajawahi kuvuka miaka 28 tangu mimi nikiwa mdogo. Kwanini mastaa wanapenda kurudisha miaka nyuma?
Wema kipindi anashinda taji la miss Tz alikua na miaka 16Wema Sepetu hayupo chini ya 35
Kivipi toka 2006 hadi 2023 ni miaka 17.
Tuchukulie alikuwa miss akiwa na miaka 18.
17+18=35
Kwa hiyo, Wema ana 35