say MAJORITYI said before singeli belongs to hood and low IQ fellaz
Kama tunavosikiaKila singeli utasikia: eeh baba eeeh baba eeeeeeh baba!
Mziki wa hovyo kabisa huu, naupa miezi miwili iliyobaki sidhani kama utafika mwaka mpya huu mziki, kila singeli beats zile zile isipokuwa lyrics tu, na lyrics zenyewe eeeh baba eeeh baba, mara shemeji na uhuni mtupu! Upuuzi kabisa!
By the way, msaga sumu haimbi singeli ndo maana ataendelea kuwapo.
Watanzania ndivyo tulivyoWanaweza wakauboresha na kuutoa kwenye huo muonekano was kihuni na kuufanya ukubalike na wengi.
Wasikatishwe tamaa ila waongeze ubunifu.
Hata nywele zilizopo kwenye mazingira tata katika mwili huwa zinaendelea kuota.Mugabe
Kweli kuwakatisha tamaa sio vyema.Watanzania ndivyo tulivyo
Aliwahi kupotea mtu muhimu sana kwenye game...Lucas Mkenda 'Mr.Nice' eti kwa sababu tu watu hawakupenda 'kuku kapanda baiskel'
Ooh hakuna sense hakuna sense...utajiuliza...kwani lazima kila msanii aimbe sense???
Watu hao hao walikata viuno kwenye 'abaaba aba abaaba prakata atumba'
Tumelaaniwa sisi
zipo sema zina watu wake:hivi tangu hainaga ushemeji kuna wimbi mwingine tena wa singeli au ndo huohuo mmoja
aisee huu nao ni wimbo? kweli huu mziki hautadumuzipo sema zina watu wake:
Licha ya Singeli kuwa muziki ulioibuka kwa kasi na kujizolea mashabiki lukuki na kufanikiwa kuzalisha vipaji kadhaa mwanamuziki Mkongwe Juma Kasim Nature ameibuka na kusema muziki huo ni wa kihuni na hautadumu.
Akiongea katika studio zake za Halisi Records mapema wiki hii na mwandishi wa habari hizi, Juma Nature amedai kuwa Singeli ni muziki ambao hautoishi kuwa muziki wa kudumu kwa muda mrefu bali unapita tu kwasababu ni muziki wa kihuni.
Akaongeza pia kuwa mahabiki hawapendi mambo ya kipumbavu ambayo yanaletwa na baadhi ya wahuni wanaovamia muziki.
“Singeli itapita tu kwasababu ya uhuni,” alisema.
“Unajua raia wengi wa Bongo hawapendi mambo ya kipumbavu pumbavu na mashabiki wetu wengi sana sio wahuni ila wahuni wanakuja katika hizi section, so wakija kwenye section hapo muziki hakuna tena,” alisema Nature.
Source: Bongo5
Binafi siupendi na nikisikia unapigwa redioni huwa naswit oof radio.
Licha ya Singeli kuwa muziki ulioibuka kwa kasi na kujizolea mashabiki lukuki na kufanikiwa kuzalisha vipaji kadhaa mwanamuziki Mkongwe Juma Kasim Nature ameibuka na kusema muziki huo ni wa kihuni na hautadumu.
Akiongea katika studio zake za Halisi Records mapema wiki hii na mwandishi wa habari hizi, Juma Nature amedai kuwa Singeli ni muziki ambao hautoishi kuwa muziki wa kudumu kwa muda mrefu bali unapita tu kwasababu ni muziki wa kihuni.
Akaongeza pia kuwa mahabiki hawapendi mambo ya kipumbavu ambayo yanaletwa na baadhi ya wahuni wanaovamia muziki.
“Singeli itapita tu kwasababu ya uhuni,” alisema.
“Unajua raia wengi wa Bongo hawapendi mambo ya kipumbavu pumbavu na mashabiki wetu wengi sana sio wahuni ila wahuni wanakuja katika hizi section, so wakija kwenye section hapo muziki hakuna tena,” alisema Nature.
Source: Bongo5