Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Uliyesema amerithi kazi Njemba anafanya kazi zipi sasa kama bado mnasema "Njemba angekuwepo.....!!!?"
Hakuna aliyerithi mkuu aliye rithi alisha kufa toka enzi za Pontyo wa Pilato..Usikubali kudanganywa na kulaghaiwa
 
Huyo AbuFizzer anataka kulaghai watu mkuu... Juma Njemba hana mrithi YOYOTE wa kazi zake...Be warned in advance
Mkuu kwenye jina nimemuuliza mtu akaniambia ni inrahim ila swala la juma njemna nalilijua na kwa kigoma hiyo chamtoto ushaisikia ya mtu aliekufa kwa mujibu wa hospitali na motwari aliwekwa 2 days lakini ni mzima hadi leo
 
Duhhh watu hatari Sana'a..
Sasa anawezaje kuwasumbua wachawi kma yeye sio mchawi piaaa,..mwenye nguvu kubwa
 


Hii siamini, ngoja niwaulize Waha mashuhuri wa Ujiji kina Diamond na Zitto.
 
Ndio Zitto anatishia nyau watu wanaowachezea watu wa Kigoma kwa kutumia historia ya huyu nini?
Kaka niamini mm watu wa kigoma sio mchezo niliishi kule 2 yrs nilijionea makubwa nikiwasimuli watu huwa hawaamini mfano kigoma kuna mganga anaweka kinga ya sumu akimaliza kitest unakunywa sumu ya panya uliyonunua mwenyewe ,kwa macho yangu alienisimulia alisaga vioo na kumeza na bia
 
Hakuna kitu kama hicho mkuu usitake nifunguke mazito kama kabwe
Huna ujualo, Huna utakachofunguka, mzee Yule alikuwa an mwanafunzi wake aliyeishi nae an kumpa ufundi kwa miaka 34, humjui

Mzee Yule ana mwanafunzi wake yupo Dodoma eneo linaitwa Majengo humjui

Mzee Yule alikuwa na marafiki zake kina Sebastian Kinyondo, Gama, Mussa Kwikima

Wakuu wa mikoa waliridhika kumwita baba, viongozi wa nchi walimtembelea kwa uficho. Huna unalojua.
 
Hatishii Zitto ni mzima, wazee wote walimridhia wakiwemo watoto wa huyu mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…