Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Hahaha utapeli wa kitoto kweli ..wadanganye wasojua ..so unataka watu wakufuate pm ili uwapeleke kwa hao Fake Apprentices of Juma Njemba!!! Kuweni macho msije tapeliwa..Naona ume hijack Uzi ili utafute wateja..Msidanganywe wakuu Juma Njemba alishakufa na mrithi wake alikufa mwaka 2001..
 
Nagundua kuwa Likud Kama kwenu Kigoma basi hukukulia Kigoma
Acha ujinga..huwezi muibia MTU kwa staili hiyo..Jf is the Home Of the GT..
Nimeleta Uzi watu wasome wajifunze wewe unakuja kutangaza biashara za makanjanja wenzako..Aisee acha ujinga wewe jamaa

Once again Juma Njemba is dead na.mrithi wake alikufa pia ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…