Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Wakongwe wa Ujiji ni Said Arobati, Saleh Ndauga, Kabeke, Kitama, Njemba, Omari Kakolwa, Sheikh Kitumba, Sheikh Khalfan, Yusuf Tosiri, Abdallah kitenge, Mussa Rehani, Abdallah Chakuwa, Ganja Smoking, Saadan Abdul Kandoro, Snow White, Mohammed Saddallah, King Seleman, Issa Maganya, Mzee Mnukwa, Abubakar Mwilima, Jumapili Kasongo, Mzee Kocho, Issa Sadiki, Mzee Saliboko, Nk
mbona tajiri na mfanyabiashara dubai sioni jina lake, au yeye alikuwa ni muhamiaji wa kogoma.
 
Amekosea katika kila jambo mzee Njemba aliishi kwenye mtaa uliokuwa na jina la labial lake " Wahombo" ni barbara ya 3 toka Kituo cha basi cha mwisho cha zamani ambako zipo ofisi za ACT MKOA.

nyumba yake ilikuwa na miti minne mbele ya nyumba aina ya misonobari, alipenda kukaa juu ya kiti chink ya mti mmoja pale, wengi walipita kwa nidhamu sana, lakini hakuna aliyevunjikiwa na heshima au kuhofishwa.
naanza kuunganisha hapo kwenye ''.. zipo ofisi za ACT MKOA..."


hii thread tamu sana.
 
Habari za Juma Njemba especially his dark side ni kweli tena kuna mengine LIKUD hajayasema, yeye ulikuwa ukifika unaeleza shida yako tu kama mtu humtaki, first of all anakuuliza unataka nn, unamwambia muue, anakujibu sasa hivi au afe taratibu ukisema now yan biashara imeisha, ndo unakuwa umekwenda na maji. next time nitaeleza habari zingine haswa za binti Rukungu na wengine wa kitambo hicho though am not interested.

Enzi hizo za kigoma dawa za mazindiko zilikuwa nyingi mnoo, kuna vitu ukiambiwa utadhani ni stori kumbe ni kweli.
ushawahi kusikia dawa za kukwepa sumu?, mfano mtu akikuwekea sumu kwenye ugali yani pindi anapokuletea ugali mezani, ugali hupasuka katikati vipande kama vinne au zaidi, kama ameweka kwenye glass la maji basi jua glass itapasuka pindi unapotaka kumpa mnywaji.

ushawahi sikia kuhusu dawa ya kukwepa ajali? yani machale yanakucheza kuwa kuna ajali mbele yani kitendo cha wewe kushuka tu gari halifiki hata mita mia ajali hutokea.

kuna meengi saana, though kuhusu mrithi wa Juma Njemba sina hakika nayo hata akiwepo basi atakuwa hana nguvu .
Yes
 
Mkuu nakujaa kuandika kitabu cha huyo mtu atakuwa ni miongoni mwa watu watakaokuwepo kwenye chapters ya kitabu changu cha "The Crooks men ever lived in tz"...am comming all the way from Miami ........nina fund ya uandishi nimepata....
kuna kichwa kinaitwa Jombi...mby hiyo....Ali na ali and the like...
Ukikiandika utushirikishe wadau tukipate humu humu
 
1. Umepatia kwa kuwa mimi na mwanae tumekuwa na makuzi mamoja, mtaa mmoja, shule moja,

2. Umepatia bint huyo alizaliwa katika miaka huyo mzee akiwa na umri unaofanana na namba uliyoitoa.

3.hapa umeweka dhana isiyo sahihi ingawa namfahamu vema huyo mwandishi.

4. Hatuko sanjari, huyu kaandika defamation kwa mzee huyu mashuhuri, kadhalilisha jina lake, kabuni matukio, na kaisemea uongo familiar yake.

Lakini kwa mtazamo wako upo huru kulinganisha masala haya kwa kadiri ya vipimo vyako.

Nakupongeza kwa umakini wako katika hoja zako zote nne.
Kuna mantiki katika andishi lako na umetumia akili katika matumizi sahihi.

Muhimu mkatazeni Likud kutukana na aache kuharibu majina ya watu kwa uzushi.


Hata ungekuwa rafiki wa hiyo familia kwa kiasi gani, bado usingesema kuwa "walikuwa wakileta" ila walikuwa "wakipeleka!"

Katika maandishi yako yote, umekuwa ukiandika kwa kumtukuza na kumsifu tu, swala linaloleta swali ni kwanini hujaandika hata sentensi moja juu ya mapungufu yake given yeye alikuwa mwanadamu aliyeweza kufanya mambo yaliyo beyond!

Katika moja ya maandishi yako humu, ulisema kuwa....baada ya huyo mzee kuugua 'aliwaambia wanae kuwa "angefariki siku ya alhamis iliochelewa" na ukasema alifariki dk chache usku kabla ya ijumaa.
Ningeomba utoe ufafanuzi ni kwanini tarehe ulioisema amafariki haikuwa alhamis, na siku uiliosema alizikwa haikuwa ijumaa?

BTW, ni kuwa woote humu jukwaani tunajua zaidi mazuri ya wazazi wetu, ila the dark part zao zinafahamika sana kwa watu wa nje ya familia zaidi!
 
Back
Top Bottom