Huyu abufizzer anatetea mushirk!
Hebu muexpose aisee!Acha kudanganya watu mkuu ..I will expose you
Muongo!Namjua Mzee juma pengine kuliko ww mkuu.. Nymba yake na mtaa aliokuwa anaishi nilikuwa daily na historia yake naijua vizur tu.pia nilimuona kwa macho yangu sikuhadithiwa kama ww.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]...waha utawaweza kwa ubishi !
Kule Kigoma mpaka wana beti ubishi.
Hapana, binafsi bado namuamini LIKUDUmeumbuka mkuuu umebaki kukalia ncha nyembamba ya kujiamini
AhsanteManeno hayoo hapo !View attachment 826023
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dahAcha uongo we jamaa..umesoma NAE wapi..mtoto wa mwisho wa Juma Njemba amezaliwa mwaka 1952...Unataka kutapeli watu eeh??? Mavi yako
Eti na mimi nimeelewa hivyo hivyoNilichojifunza
1.juma njemba alikuwa mganga mchawi wa kuogopwa
2.aliua watu
3.alifariki
4.likud ameleta histiroa ya upande mmoja
5.mwana familia kaja kuleta upande mzuri
6.njemba alikuwa mchawi.
7.hakuna aliyerithi mikoba mwenye nguvu kama njemba
Basi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Naskia sekandi boni wake ni mshana
mbona tajiri na mfanyabiashara dubai sioni jina lake, au yeye alikuwa ni muhamiaji wa kogoma.Wakongwe wa Ujiji ni Said Arobati, Saleh Ndauga, Kabeke, Kitama, Njemba, Omari Kakolwa, Sheikh Kitumba, Sheikh Khalfan, Yusuf Tosiri, Abdallah kitenge, Mussa Rehani, Abdallah Chakuwa, Ganja Smoking, Saadan Abdul Kandoro, Snow White, Mohammed Saddallah, King Seleman, Issa Maganya, Mzee Mnukwa, Abubakar Mwilima, Jumapili Kasongo, Mzee Kocho, Issa Sadiki, Mzee Saliboko, Nk
Mmhh!damu nzito aiseehh!!Alifariki 24/11/2007 usiku wa Alhamisi na alizikwa Ijumaa saa kumi alaasir. Na ni hakika mtaa wake hupitiwa na watu kwenda Kagera sokoni
naanza kuunganisha hapo kwenye ''.. zipo ofisi za ACT MKOA..."Amekosea katika kila jambo mzee Njemba aliishi kwenye mtaa uliokuwa na jina la labial lake " Wahombo" ni barbara ya 3 toka Kituo cha basi cha mwisho cha zamani ambako zipo ofisi za ACT MKOA.
nyumba yake ilikuwa na miti minne mbele ya nyumba aina ya misonobari, alipenda kukaa juu ya kiti chink ya mti mmoja pale, wengi walipita kwa nidhamu sana, lakini hakuna aliyevunjikiwa na heshima au kuhofishwa.
Km alikua mushriki hana chake kwa Allah (s.w)Likud unaaibika kwa kuwa ulikhadithiwa story ukaunga unga, uliaminiwa kwa mengi lakini kwa hili hutaaminiwa kamwe. Tuliomfahamu hatutaacha kumtetea hats Kama yupo mavumbini
Jamaa yupo sahihi kuliko ww...hujui lolote kuhusu juma njemba...Sema tu umeleta mada hapa ili kitafuta credibility zakipumbavuKutapeli watu mwisho Instagram..eti mjukuu wake...
YesHabari za Juma Njemba especially his dark side ni kweli tena kuna mengine LIKUD hajayasema, yeye ulikuwa ukifika unaeleza shida yako tu kama mtu humtaki, first of all anakuuliza unataka nn, unamwambia muue, anakujibu sasa hivi au afe taratibu ukisema now yan biashara imeisha, ndo unakuwa umekwenda na maji. next time nitaeleza habari zingine haswa za binti Rukungu na wengine wa kitambo hicho though am not interested.
Enzi hizo za kigoma dawa za mazindiko zilikuwa nyingi mnoo, kuna vitu ukiambiwa utadhani ni stori kumbe ni kweli.
ushawahi kusikia dawa za kukwepa sumu?, mfano mtu akikuwekea sumu kwenye ugali yani pindi anapokuletea ugali mezani, ugali hupasuka katikati vipande kama vinne au zaidi, kama ameweka kwenye glass la maji basi jua glass itapasuka pindi unapotaka kumpa mnywaji.
ushawahi sikia kuhusu dawa ya kukwepa ajali? yani machale yanakucheza kuwa kuna ajali mbele yani kitendo cha wewe kushuka tu gari halifiki hata mita mia ajali hutokea.
kuna meengi saana, though kuhusu mrithi wa Juma Njemba sina hakika nayo hata akiwepo basi atakuwa hana nguvu .
Ulivyokuwa popoma unajifanya niww pekee unaejua history ya huyu Mzee he he he. Kwani ww nani ?Historia ya juma imesambaa kila kona kigomaNenda kafie Sudan.. Uzuri nimeshawatahadharisha watu kuhusu ulaghai mnao taka kuufanya...jf members..be warned
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Muongo!
Ukikiandika utushirikishe wadau tukipate humu humuMkuu nakujaa kuandika kitabu cha huyo mtu atakuwa ni miongoni mwa watu watakaokuwepo kwenye chapters ya kitabu changu cha "The Crooks men ever lived in tz"...am comming all the way from Miami ........nina fund ya uandishi nimepata....
kuna kichwa kinaitwa Jombi...mby hiyo....Ali na ali and the like...
1. Umepatia kwa kuwa mimi na mwanae tumekuwa na makuzi mamoja, mtaa mmoja, shule moja,
2. Umepatia bint huyo alizaliwa katika miaka huyo mzee akiwa na umri unaofanana na namba uliyoitoa.
3.hapa umeweka dhana isiyo sahihi ingawa namfahamu vema huyo mwandishi.
4. Hatuko sanjari, huyu kaandika defamation kwa mzee huyu mashuhuri, kadhalilisha jina lake, kabuni matukio, na kaisemea uongo familiar yake.
Lakini kwa mtazamo wako upo huru kulinganisha masala haya kwa kadiri ya vipimo vyako.
Nakupongeza kwa umakini wako katika hoja zako zote nne.
Kuna mantiki katika andishi lako na umetumia akili katika matumizi sahihi.
Muhimu mkatazeni Likud kutukana na aache kuharibu majina ya watu kwa uzushi.