Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Bila shaka wewe utakuwa mwanae
 
Sifa mojawapo ya tapeli huwa anatumia maneno mengi kufikisha/kuwasilisha jambo dogo.

Pia tapeli hutumia maneno mengi sana kufanya taswira yake ing'ae machoni pa mtu.

Take a break ujifanyie critical evaluation.
 
Hujamtaja Abdallah Said,
 
Hakufa wapo wawili sio mkoba Bali elimu ya kitabu na kuburi tu. Hats wachungaji wapo wenye nguvu na uwezo wa Mungu katika kuitikiwa maombi
Mkuu hyo ELIMU YA KITABU unayozungumzia ndio uchawi wenyewe,uchawi sio lazima kutumia tunguli na kaniki,nyie ndo mnapotosha watu wanaenda kwa hao wanaojiita 'mashehe' wanaandikiwa makombe na zafarani,kupewa mipete wakidhani ni halali mwisho wake uislamu unapakwa matope.Narudia tena yale aliyokuwa anafanya marehemu shehe yahya and the likes ni uchawi/ushirikina.Hayo mavitabu ni manuals tu.na kwa vile mengi wanayoyatumia yanalugha ya kiarabu ndo kabisaa watu wanaingia mkenge.
 
Nami nitoe mtazamo wangu kuhusu Likud na AbuFizzer

Kwanza niseme tu Mimi ni mzaliwa wa Gungu(kigoma), japokuwa umri wangu ni late 20s kuna mambo machache nayafahamu kuhusu Juma Njemba.

Mvutano kati ya Likud na Abufizzer ni wa kutaka kuonesha kuwa nani anamfahamu Zaidi Juma Njemba. Likudi ameelezea dark side ya mzee huyu maarufu wa kimanyema ambapo katika Maelezo yake, kuna ukweli mwingi na mengine ni chumvi. Mfano, hilo la kuoa wake 200 Nina shaka nalo,

Abufizzer anaonekana kuwa ndugu wa karibu wa Njemba au moja ya wana familia wa ndani. Anachofanya kutetea kuwa mzee Njemba hakuwa anaogopeka kwa mambo hayo ni kutaka kutunza siri ya familia tu. Mara nyingi watu wanaofanya shughuli hizi za kichawi na kishirikina huwa wanajificha kwenye dini ya kiislamu na kujifanya wasomaji wa kitabu cha quraan. Ila kiukweli, wanaua, wanatibu, wanafanya kila aina ya mandava ya darkside.

Mengi aliyosema LIKUD ni kweli, na anayosema Abufizzer ni "story counterbalance" tu.

Njemba aliogopeka, achana na yule jamaa
 
kuna watu eti wanabisha humu"" huyo juma njemba alikuwapo kweli " wazazi wangu waliwahi nihadithia habari zake " aiseee alikuwa nimtu hatari mnooo", though ninarafiki yangu aliwahi kumuoa mjukuu wake but now wameshatalikiana " na " huyo rafiki yangu anaishi UAE kwa sasa
 
hahaaaa ati nusu ya ukoo wako
 
Ha ha hao ndio wana KG wabishi balaa hapo ndio wanaandika wangekua live pangechimbika
 
Tupe na za yule Mzee wa kagunga aliekuwa ikifika usiku anatandika mkeka juu ya ziwa Tanganyika anakwenda kulala Burundi.
acha masiharA basii mkeka juu ya maji ""?
 
Hilo zindiko ni hatari sana linahitaji ujasiri wa hali ya juu..Alikuwaga pia na zindiko la kumzika MTU kaburini, MTU kupikwa kwenye pipa pamoja na Yale ya " kusafiri" kwenda kuzimu kama lile lililo muua Joseph Kabasele
mmmh mkuu huyo kabasele alifanyaje hebu tupe dodosa kidogo""
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…