Mbona wana Kigoma wengi tu humu wameconcur hiyo stori! Acheni kumtetea marehemu mchawiUlivyokuwa popoma unajifanya niww pekee unaejua history ya huyu Mzee he he he. Kwani ww nani ?Historia ya juma imesambaa kila kona kigoma
Kwenye issue ya koti ofisini kuna alilosema la kweli na lipo hakusema kweli nenda kasome komenti yangu vema.
Kweli ni kukamatwa kwa mwanae kwa kutuhumiwa kuzurura
Isiyo kweli ni kutundikwa kwa koti
Zaidi issue hiyo ya koti Ujiji ni maarufu sana kwa wazee Zaidi ya mmoja kiasi watu walishaamini kuwa hizo ni ngano zinazohusishwa na watu Fulani kuwakuza au kuwapa utajo kuwa ni wenye nguvu za miujiza.
Mimi simtetei eti hakuwa anatisha kwa kazi yake laaa,ila yapo baadhi ya maelezo ya mtoa mada sio sahihi kabisa... So ahataki kukosolewaMbona wana Kigoma wengi tu humu wameconcur hiyo stori! Acheni kumtetea marehemu mchawi
Majority humu wanakubaliana na story tena kuna member mmoja alisema alikuwa mteja wa huyo mzee, ila walipofika mlango wa tatu akatoroka!Mbona wana Kigoma wengi tu humu wameconcur hiyo stori! Acheni kumtetea marehemu mchawi
Tunashukuru kama mmeanza kuokoka na kusilimu.Yaani kwa lugha unayotumia, wewe unaamini katika uchawi na ushirikina kupita inavyoweza kudhaniwa
HamjamuumbuaHuyu tumemuumbua na kijihistor chake cha kuhadithiwa wakat kina sisi tumeishi mitaa yenyewe na tunamjua mzee juma kuliko yeye
Kwani Muhammad umewahi kumwona au imehadithiwa tu?Au aliwahi kuzungumza naye?Nyote mlihadithiwa lakini hamkumuona, hamkuzungumza nae, hamkumuhoji, yaani nyie ni "third hand information" na bado mnaushawishi umma uwaelewe kuwa mlichoambiwa ni kweli.
Nacheka[emoji6][emoji847][emoji6]
Watembeleeni wachamungu mpate kuondolewa nira mashingoni mwenu.
Sasa kwanini unadhani unafaa tukuamini?
1.Umefail kwny tarehe yake ya kufa na kuzikwa
2. Ulichioweza ni kuleta majina na idadi ya familia ya huyo Juma, ambayo ni ngumu kwa yyte humu ku verify kama usemacho ni kweli.
3. Umejikita only kuongea positive side bila ya angalau kijihusisha na anacho kiongea mleta mada na member wengine humu waliofika kilingeni kwake na kukubaliana na Likud
4. unakanusha tu anachosema Likud basi, yaani kama kuna kitu au jambo hutaki lisimwe
Kama hakuwa na power yeyote,aliwezaje kuheshimika sana na kutetea wanyonge kama usemavyo??Tens tumemuumbua vibaya!!
Katika dunia ya Leo kuleta story za "Zombi mla watu" ni mtihani sana. Haijalishi muislam au mkristo ukiwa mtanzania ukaamini kuwa kuna mtu alikuwa na power ya uzushi ya kubuniwa na kupachikwa , jikague hutoshi ama kuna upungufu wa afya ya makuzi, au kuna ujazo wa elimu hewa.
Iwe mzee huyo alikuwa ndugu yangu, iwe alikuwa jirani yangu, iwe vyovyote bado hakuwa na matendo aliyonasibishwa mayo katika uzi huu, hakuwa mchawi wala hakudhulumu maisha ya watu
Ndiyo uchawi wenyewe huu!!Nadhani kuna kitu unachanganya, mbona story ya kutundika koti ukutani bila hanger ofisini kwa RPC umekubali?? Hii inaweza Fanya na mtu wa kawaida? Asiekuwa na minguvu ya sirini?? Let close this,
Kumbe Njemba alikuwa anatisha kwa Kazi zake?Mimi simtetei eti hakuwa anatisha kwa kazi yake laaa,ila yapo baadhi ya maelezo ya mtoa mada sio sahihi kabisa... So ahataki kukosolewa
Mkuu fanya utupe haya mazagaHilo zindiko ni hatari sana linahitaji ujasiri wa hali ya juu..Alikuwaga pia na zindiko la kumzika MTU kaburini, MTU kupikwa kwenye pipa pamoja na Yale ya " kusafiri" kwenda kuzimu kama lile lililo muua Joseph Kabasele
Pia yawezekana maushirikina hayo yamewaletea laana na mabalaa au vifo katika koo yao na umaskini.Hawataki uchaw
Hawataki uchawi na ushirikina ea nzee wao uongelewe kwa sababu wanajua madhila yake kaburin!ila hawamsafishi zaidi wanamteketeza tu!
Ha haHawa watu wa kigoma kwa ubishi hakuna hapo sahiv wanavuta pumnzi kwanza hii ligi ndio kwanza imeanza hii wanaweza bishana mwaka mzima hapa..
Wala hamjafanikiwa, stori tumeiamini kama ilivyoletwa, hizo chai zenu kanyweni wenyewe!Tens tumemuumbua vibaya!!
Katika dunia ya Leo kuleta story za "Zombi mla watu" ni mtihani sana. Haijalishi muislam au mkristo ukiwa mtanzania ukaamini kuwa kuna mtu alikuwa na power ya uzushi ya kubuniwa na kupachikwa , jikague hutoshi ama kuna upungufu wa afya ya makuzi, au kuna ujazo wa elimu hewa.
Iwe mzee huyo alikuwa ndugu yangu, iwe alikuwa jirani yangu, iwe vyovyote bado hakuwa na matendo aliyonasibishwa mayo katika uzi huu, hakuwa mchawi wala hakudhulumu maisha ya watu
Fuatilia michango yangu utaelewa wapi nabisha na wapi sibishiiKumbe Njemba alikuwa anatisha kwa Kazi zake?
Basi LIKUD alikuwa sahihi.
Jambo moja muhimu,yawezekana stori imetiwa chumvi ila Njemba alikuwa mshirikina alotukuka period!Fuatilia michango yangu utaelewa wapi nabisha na wapi sibishii
Mjukuu wake..Anaitwa nani yukoje haiba yake ???