Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Tueleze mkuu
 
Kwan kati ya juma njemba Na bint Rukungu nani alikua mchawi mkubwa kumshinda mwenzie? Hizi story ulisimuliwa na wewe umekuja kusimulia Kweli huyo mtu alikuepo huko ujiji lakin umeongeza chumvi nyingi
 
Uongo huu
 
siaminigi uchawi hatakidogoo

We bwana, sema hivi:- "namuomba Mungu anilinde na wachawi", na wala usiseme kuwa huamini uchawi kwani uchawi ni elimu au dhana pana mno na kimsingi ni ile inayoitwa (hypnotism /mesmerism) ambapo mtu mwenye hiyo elimu anapoitumia vibaya ndipo inapoleta madhara kwa watu na mara nyingi inatokea watu wenye elimu hiyo hujiona wamepata nguvu na huanza kujiamini na kusahau kuwa yupo mwenye nguvu zaidi yao yaani Mungu na ikifika hatua hiyo ndipo huyo mtu huitwa mshirikina basi hapo ushetani unaingia na maramoja mtu huyo anakuwa ni hatari sana kwa watu kwani anakosa hofu juu ya Mungu.
 
Mmhh kweli???
Duh
 
Kwan kati ya juma njemba Na bint Rukungu nani alikua mchawi mkubwa kumshinda mwenzie? Hizi story ulisimuliwa na wewe umekuja kusimulia Kweli huyo mtu alikuepo huko ujiji lakin umeongeza chumvi nyingi
Alikuwepo Leo nilikua na dogo mmoja wa kigoma huko maarufu ukoo wao nikamuulizia eti wamjua Juma Njemba akasema 'weee acha Dada angu alikua gwiji la uchawi huyo anaoa na kuacha na bamdogo ndo alikua mshenga wake yaani akila jiwe dogo kwenye wali talaka'

Yaani aliyoyasema Likud yana ukweli 96% yaani hao watetezi wake ni wasanii tu wanamsafisha mushriki kama huyo mchawi ...

Alikua anasemaje "sawa mi ntachomwa moto kesho kwa Mungu lakini na Mimi hapa duniani nkikutaka sikuachi"
 
mimi niluwahi kwenda kwa huyo mzee lakini niliogopa kumalizia zindiko la milango saba ya ziwa tanganyika, nikaondoka kwa kutoroka tukiwa mlango wa tatu , nadhani umenikumbusha mbali mno wala hujakosea kitu.
Ayo mazindiko ya milango yakoje?
Tuellezee japo milango mitatu tuu
 
Umenifanya nicheke saana mkuu.. BACK TO SENDER. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
6

"Shetani ni Mungu pia---?!!!," Vipi kauli hii mbona imekaa vibaya mno 😫, Hebu nakuomba uitengue kabla Mungu hajashusha hasira zake kwa kumfanisha na hilo dubwashika.
 
Walioshangilia kifo chake ni watu waovu waliokuwa wanashughulikiwa na Njemba......Mwaka 2002 wakati nachimba madini ya dhahabu Kigoma Karenge wachimbaji wengi sana walisaidiwa na Njemba....Wachawi wote walikuwa wanamuogopa sana Njemba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…