Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Juma Njemba hakuwa wa dunia hii...He was something else
 
Hii kitu ni kweli ? Mimi nilijua ni fasihi imetumika tu
 
Ilikuwa ukitaka kuua MTU unaingia NAE kilingeni kwake anafanya vitu vyake yani habari za msiba wa mbaya wako unazipokea ukiwa kilingeni kwake hapo hapo
 
mimi niluwahi kwenda kwa huyo mzee lakini niliogopa kumalizia zindiko la milango saba ya ziwa tanganyika, nikaondoka kwa kutoroka tukiwa mlango wa tatu , nadhani umenikumbusha mbali mno wala hujakosea kitu.
Hilo zindiko ni hatari sana linahitaji ujasiri wa hali ya juu..Alikuwaga pia na zindiko la kumzika MTU kaburini, MTU kupikwa kwenye pipa pamoja na Yale ya " kusafiri" kwenda kuzimu kama lile lililo muua Joseph Kabasele
 
Kwa sababu alikuwa anaua sana watu..Kwake suala la kuua MTU as simple as mvulana wa miaka kumi na saba kupiga puchu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…