Juma Nkamia: Hayati Magufuli alitaka nifukuza CCM, kwakuwa alipenda sifa nikaja na hoja ya miaka 7 ya Urais

Jiwe bwana 😆😆,waliomjulia walitamba na kuneemeka kwa kupiga ila waliotaka kutumia akili walipata tabu Sana.

Ogopa Sana mpumbavu/ kichaa akishika rungu 😁😁
 
Kwa hiyo alitaka katiba ya nchi ivunjwe ilimradi watoto wake waende shule sio, hakuna mtu hapo.
 
CCM wengi wanafiki wakubwa including Rais Samia, na CCM wenzie wameshamwona yeye ndiye mnafiki namba moja. Haiwezekani serikali ambayo yeye alikuwa namba 2 leo eti anainanga, naweza kusema ni zaidi ya unafiki. Tusimshangae Nkamia, hiyo tabia ni jadi yao.
 
Kuna mtu wa kumnyooshea Nkamia mkono humu? Mbona sisi tumejificha na fake ID? Mbona mmekubali kuongozwa na Samia na Majaliwa ambaye wamekiri hadharani na kwa vitendo hawakuwa na Magufuli? Wako wapi watanzania waliodhubutu kusema kweli kipindi hicho, zaidi ya Lissu,Lema, Mbowe na wengine wachache ambao waliishia kutaka kuuliwa na kubambikizwa kesi

Hao viongozi wenu wa dini ndio walikuwa mstari wa mbele kwa unafiki,sembuse Nkamia?
 
Jiwe bwana 😆😆,waliomjulia walitamba na kuneemeka kwa kupiga ila waliotaka kutumia akili walipata tabu Sana.

Ogopa Sana mpumbavu/ kichaa akishika rungu 😁😁
Wewe ni chawa wa Samia,kama Magufuri alipenda sifa huyo Mkamia na Kessi wa mkasi, mbona wote walipigwa chini kwenye kira za maoni? Magufuri alikuwa Mtu wa kazi,wazembe na wavivu ndio walimtungia uongo Magufuri
 
Jiwe alikuwa Katiri sana !
 
Hii ndio maana halisi ya kuchafua oil chafu.
 
Wewe ni chawa wa Samia,kama Magufuri alipenda sifa huyo Mkamia na Kessi wa mkasi, mbona wote walipigwa chini kwenye kira za maoni? Magufuri alikuwa Mtu wa kazi,wazembe na wavivu ndio walimtungia uongo Magufuri
Walipigwa chini na WAJUMBE wa Magufuli waliojaa maelekezo.
 
Mtu kama huyu hastahili kuaminiwa tena na wananchi. Maana ni muoga, hajiamini, mbinafsi, mnafiki na mchumia tumbo.
Wabunge wa Ccm hawahitaji uaminifu wako,akishapitishwa na Chama imeisha hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…