Juma Nkamia: Hayati Magufuli alitaka nifukuza CCM, kwakuwa alipenda sifa nikaja na hoja ya miaka 7 ya Urais

Dah!! This is not good! Hata kama...aisee
 
Itakuja Kutokea Kwa Hangaya Pia. Ts a matter of Time Mzee Wangu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hata huyu Nkamia anavyofanya hivi ni kwa kuwa anaona upepo umebadilika.

Wale walionaswa wakimteta JPM kina Kinana na Nape wamerudishwa.

Kashasema watoto wanasoma anawatafutia ugali.
Your browser is not able to display this video.
 
Sasa wa hovyo kivipi? Mtu anasomesha watoto wewe ulikua unatakaje kwani kumsifia jiwe ilikuwa inahitaji sh.ngapi ili ku survive?
Ndiyo anafanya yote hayo.
Lakini ni hulk ya ovyo sana kwa mtu kuwa nayo!
 
Kwa hiyo Nkamia anataka tuseme kuwa yeye ni mwerevu na JPM alikuwa mpumbavu?

Nchi hii ina wanasiasa wa hovyo sana
 
Hizo ndiyo siasa zetu. Kuzungumza hata bila kufikiria. Okay sasa hii inasaidia nini? Au kufukuzwa kwa Nkamia kuna impact gani kwa nchi. Anajiosha tu alijaribu kujipendekeza kwa hoja ya miaka 7 akiwa amelenga uteuzi.
 
Ukweli mchungu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mie nafikiri kuna haja ya kumpongeza mkamia, kwani alifanikiwa kujitetea kwa kwa mbinu hiyo, je, wanaomshutumu mkamia hajui alikuwa anapambana na mtu wa namna gani, tuombe Mungu asipatikane mtawala kama bwana yule, ili akuelewe lazima ujidhalilishe, ndio utakuwa salama!
 
Hiyo ndiyo taswira ya wabunge wAliowengi wa CCM ,huwa misimamo yao inafuata upepo unakoelekea,tangu wamepitisha tozo kwenye miamala nawaona mabogus kabisa,wapo bungeni kwa maslahi yao binafsi,si ya wananchi wanaowawakilisha.
 
Asante Hayati JPM Magufuli (R.I.P), sasa tunawajua watanzania ambao hawatufai kutuwakilisha na wale ambao wanatufaa kutuwakilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…